Wazee wa kuji-brand na kuji-mwambafy: Unaomba namba ya simu unambeep na kuifuta papo hapo

Wazee wa kuji-brand na kuji-mwambafy: Unaomba namba ya simu unambeep na kuifuta papo hapo

Pang Fung Mi

JF-Expert Member
Joined
Nov 10, 2022
Posts
6,653
Reaction score
13,919
Shalom,

Huu sijui niite ni dharau, maringo, ubaharia au ujinga wa kitoto.

Ubaharia wa kidwanzi ndio huu kuna siku nikichukua namba ya demu mmoja hapa jijini Dodoma, nikambeep Fair kabisa.

Kesho yake nikampigia daah aliwasha sana moto akaniumbua sana wewe nani acha kushoboka hovyo na maneno mengi sana.

Baadae nilikata simu baada ya ile fedheha , kisha nikaandika meseji ya kumkumbusha na nikamtumia na picha na muda wa location.

Alijiona fala sana baada ya muda wa siku mbili nilimtafuna maeneo ya mji mpya. hana maajabu yoyote yale, nimeshamblock, akipiga busy.

Baada ya huyu demu kunifanyia vile day one, nilianza kufanya gender reciprocal on torturing their feelings.

Sasa hivi nikichukua namba ya demu akinipa nambeep naifuta papo hapo nipo kwenye kipindi maalumu cha kutesa hisia zao.

Malipo ni hapa hapa take care

Wakionesha nyodo walipe nyodo square

Wadiz
 
Umenifundisha maujanja,ila unaemwelewa na unatamani upige hamna haja kumfanyia huu umafia mkuu
Hii mbinu inasaidia kitu ila sitaki kufungua code has kwenye branding na status, being too serious with them creates cheap and lowers classes, so kunata na kupotezea kiu inapaisha , wanaumia usipomcheki wakati namba amekupa.

Though baadhi wenye mlengo wa umalaya hawanaga time usipowacheki na sometimes ndio wanaochukia zaidi usipowacheki
 
Shalom,

Huu sijui niite ni dharau, maringo, ubaharia au ujinga wa kitoto.

Ubaharia wa kidwanzi ndio huu kuna siku nikichukua namba ya demu mmoja hapa jijini Dodoma, nikambeep Fair kabisa.

Kesho yake nikampigia daah aliwasha sana moto akaniumbua sana wewe nani acha kushoboka hovyo na maneno mengi sana.

Baadae nilikata simu baada ya ile fedheha , kisha nikaandika meseji ya kumkumbusha na nikamtumia na picha na muda wa location.

Alijiona fala sana baada ya muda wa siku mbili nilimtafuna maeneo ya mji mpya. hana maajabu yoyote yale, nimeshamblock, akipiga busy.

Baada ya huyu demu kunifanyia vile day one, nilianza kufanya gender reciprocal on torturing their feelings.

Sasa hivi nikichukua namba ya demu akinipa nambeep naifuta papo hapo nipo kwenye kipindi maalumu cha kutesa hisia zao.

Malipo ni hapa hapa take care

Wakionesha nyodo walipe nyodo square

Wadiz
Kubeep na kuifuta haikusaidii sana, maana anaweza kukupigia baadaye halafu ukaipokea kimakosa kwa kuiona ni # ngeni.

Ukitaka kumaliza mzizi wa fitina, anza na tofari la block kwanza, halafu ndiyo umbeep na kisha hayo mengine ndiyo yafuate.
 
Kuna vile vidada ukikiomba namba kinasema hakikujui halafu kikiwa mtani kwake kinasema hakiwezi kudate na mtu wa mtaa mmoja, sijui vinapata vipi wapenzi.
 
Shalom,

Huu sijui niite ni dharau, maringo, ubaharia au ujinga wa kitoto.

Ubaharia wa kidwanzi ndio huu kuna siku nikichukua namba ya demu mmoja hapa jijini Dodoma, nikambeep Fair kabisa.

Kesho yake nikampigia daah aliwasha sana moto akaniumbua sana wewe nani acha kushoboka hovyo na maneno mengi sana.

Baadae nilikata simu baada ya ile fedheha , kisha nikaandika meseji ya kumkumbusha na nikamtumia na picha na muda wa location.

Alijiona fala sana baada ya muda wa siku mbili nilimtafuna maeneo ya mji mpya. hana maajabu yoyote yale, nimeshamblock, akipiga busy.

Baada ya huyu demu kunifanyia vile day one, nilianza kufanya gender reciprocal on torturing their feelings.

Sasa hivi nikichukua namba ya demu akinipa nambeep naifuta papo hapo nipo kwenye kipindi maalumu cha kutesa hisia zao.

Malipo ni hapa hapa take care

Wakionesha nyodo walipe nyodo square

Wadiz
Na sisi tukikupa,ukibeep tunakublock hapo hapo
 
Shalom,

Huu sijui niite ni dharau, maringo, ubaharia au ujinga wa kitoto.

Ubaharia wa kidwanzi ndio huu kuna siku nikichukua namba ya demu mmoja hapa jijini Dodoma, nikambeep Fair kabisa.

Kesho yake nikampigia daah aliwasha sana moto akaniumbua sana wewe nani acha kushoboka hovyo na maneno mengi sana.

Baadae nilikata simu baada ya ile fedheha , kisha nikaandika meseji ya kumkumbusha na nikamtumia na picha na muda wa location.

Alijiona fala sana baada ya muda wa siku mbili nilimtafuna maeneo ya mji mpya. hana maajabu yoyote yale, nimeshamblock, akipiga busy.

Baada ya huyu demu kunifanyia vile day one, nilianza kufanya gender reciprocal on torturing their feelings.

Sasa hivi nikichukua namba ya demu akinipa nambeep naifuta papo hapo nipo kwenye kipindi maalumu cha kutesa hisia zao.

Malipo ni hapa hapa take care

Wakionesha nyodo walipe nyodo square

Wadiz
Tuko pamoj kuna dem nae kanilia vihela vyangu siku akinipa block ya hatari
 
Back
Top Bottom