Pang Fung Mi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2022
- 6,653
- 13,919
Shalom,
Huu sijui niite ni dharau, maringo, ubaharia au ujinga wa kitoto.
Ubaharia wa kidwanzi ndio huu kuna siku nikichukua namba ya demu mmoja hapa jijini Dodoma, nikambeep Fair kabisa.
Kesho yake nikampigia daah aliwasha sana moto akaniumbua sana wewe nani acha kushoboka hovyo na maneno mengi sana.
Baadae nilikata simu baada ya ile fedheha , kisha nikaandika meseji ya kumkumbusha na nikamtumia na picha na muda wa location.
Alijiona fala sana baada ya muda wa siku mbili nilimtafuna maeneo ya mji mpya. hana maajabu yoyote yale, nimeshamblock, akipiga busy.
Baada ya huyu demu kunifanyia vile day one, nilianza kufanya gender reciprocal on torturing their feelings.
Sasa hivi nikichukua namba ya demu akinipa nambeep naifuta papo hapo nipo kwenye kipindi maalumu cha kutesa hisia zao.
Malipo ni hapa hapa take care
Wakionesha nyodo walipe nyodo square
Wadiz
Huu sijui niite ni dharau, maringo, ubaharia au ujinga wa kitoto.
Ubaharia wa kidwanzi ndio huu kuna siku nikichukua namba ya demu mmoja hapa jijini Dodoma, nikambeep Fair kabisa.
Kesho yake nikampigia daah aliwasha sana moto akaniumbua sana wewe nani acha kushoboka hovyo na maneno mengi sana.
Baadae nilikata simu baada ya ile fedheha , kisha nikaandika meseji ya kumkumbusha na nikamtumia na picha na muda wa location.
Alijiona fala sana baada ya muda wa siku mbili nilimtafuna maeneo ya mji mpya. hana maajabu yoyote yale, nimeshamblock, akipiga busy.
Baada ya huyu demu kunifanyia vile day one, nilianza kufanya gender reciprocal on torturing their feelings.
Sasa hivi nikichukua namba ya demu akinipa nambeep naifuta papo hapo nipo kwenye kipindi maalumu cha kutesa hisia zao.
Malipo ni hapa hapa take care
Wakionesha nyodo walipe nyodo square
Wadiz