Wazee wa kuji-brand na kuji-mwambafy: Unaomba namba ya simu unambeep na kuifuta papo hapo

Wazee wa kuji-brand na kuji-mwambafy: Unaomba namba ya simu unambeep na kuifuta papo hapo

Wanawake wanakerwa Sana na hii mambo hasa akifanyiwa na real nigga...
Me nnakawaida naweza chukua namba nakubip halafu sikutafuti hata week,sasa Ile kitu huwa inawakera kama Malaya alielewa appearance lazma akuchek..
 
Ila Wadiz watoto wa kike wanaokupelekesha sana yani wanajua kukuvuruga.....hadi uzeeke moyo wako utakua kama dekio 😹😹😹
 
Kosa la mwanamke mmoja unawahusisha na wengine[emoji3], huo ni uonezi mkuu hawa viumbe ni wengi sana na wana akili tofauti-tofauti, kuna wenye uchizi ambao baadhi yao ni kama huyo chizi wako(hawa ndio wakuwashughulikia), na kuna wengine ambao hawana noma kabisa na si vema kuwahusisha na upuuzi wa wachache.
 
Kuna vile vidada ukikiomba namba kinasema hakikujui halafu kikiwa mtani kwake kinasema hakiwezi kudate na mtu wa mtaa mmoja, sijui vinapata vipi wapenzi.
Aisee nimecheka😄binafsi sijawahi mnyima mkaka namba mladi tuu nimemuelewa as long as nipo singo nitatoa namba yangu tena nakuaga makini nisije kosea😂
 
Kuomba namba barabarani kwa mtu usiyemjua ni hatua mbili kabla hujawa kichaa
Kwahiyo umekutana na mtu haumjui hakujui unafanyaje unamtazama?

Kuna watu walikutana barabarani na ikaishia na Ndoa. Akili za kujishuku zinaweza haribia fursa wengi sana.
 
Kuna vile vidada ukikiomba namba kinasema hakikujui halafu kikiwa mtani kwake kinasema hakiwezi kudate na mtu wa mtaa mmoja, sijui vinapata vipi wapenzi.
Vya namna hiyo huwa ni vidangaji kwann akatae mtu ambaye wanaishi eneo moja it means kana kwepa aibu.
 
Mi nikichukua namba kwa demu baada ya week ndio namtafuta tulinde brand wanangu tupunguze kiherehere.
 
Back
Top Bottom