Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
Hawa jamaa tunawapaga faida sana , halafu hawakumbukagi kabisa kurudisha fadhila kwa wateja wao.
Sasa njia ni nyepesi , Ukinywa wiki siku ya nane unalamba za bure.
Njooni tupeane namna ya kuondoka Bar bila kuaga wala kushtukiwa [emoji1] [emoji23] [emoji1] [emoji23] [emoji1].
[emoji482] Cheers .
Sasa njia ni nyepesi , Ukinywa wiki siku ya nane unalamba za bure.
Njooni tupeane namna ya kuondoka Bar bila kuaga wala kushtukiwa [emoji1] [emoji23] [emoji1] [emoji23] [emoji1].
[emoji482] Cheers .