Nelson Kileo
JF-Expert Member
- Oct 29, 2011
- 3,053
- 3,259
We kweli masterUkifika Bar agiza tena kwa ukali kama utapiga beer tano basi anza moja moja ukifika ya tano agiza nyingine afu kunywa kidogo sasa hapo fanya kama unaenda chooni au unapiga simu muudumu ataona bado unakinywaji hivyo hata shtuka sasa huo ndo muda wa kusepa ....
Mjini mipango mkuu .....We kweli master
hii mbinu nimeipenda na nitaifanyia practical pale kwenye bwalo la FFU au JWTZ kujipima ufanisi wa kuitekeleza mbinu hii adhimu bila uwoga.Unaunga urafiki na fala yoyote hapo bar anaeshangaa shangaa!unaagizia unakunywa fasta na huyo fala unamuagizia safari moja!wakati anakunywa unainuka unatoka nje muhudumu atajua utarudi sababu ya yule mwenzio fala.unamueka bondi hapo
Sasa wewe ndo master^2 .....[emoji1]Unaunga urafiki na fala yoyote hapo bar anaeshangaa shangaa!unaagizia unakunywa fasta na huyo fala unamuagizia safari moja!wakati anakunywa unainuka unatoka nje muhudumu atajua utarudi sababu ya yule mwenzio fala.unamueka bondi hapo
Lazima uwape faida si mwenyewe unapenda bia? Ya mini kuwatia hasara wenzako?Ukifika Bar agiza tena kwa ukali kama utapiga beer tano basi anza moja moja ukifika ya tano agiza nyingine afu kunywa kidogo sasa hapo fanya kama unaenda chooni au unapiga simu muudumu ataona bado unakinywaji hivyo hata shtuka sasa huo ndo muda wa kusepa ....
Watu mnakuwa wa ajabu kwa nini?hii mbinu nimeipenda na nitaifanyia practical pale kwenye bwalo la FFU au JWTZ kujipima ufanisi wa kuitekeleza mbinu hii adhimu bila uwoga.
Kama nikimudu huku kwa wafunga buti wenye sumu huku uraiani nitakuwa na confidence ya nchi za nje kinyerezi.
Hawa jamaa tunawapaga faida sana , halafu hawakumbukagi kabisa kurudisha fadhila kwa wateja wao.
Sasa njia ni nyepesi , Ukinywa wiki siku ya nane unalamba za bure.
Njooni tupeane namna ya kuondoka Bar bila kuaga wala kushtukiwa [emoji1] [emoji23] [emoji1] [emoji23] [emoji1].
[emoji482] Cheers .
Msifanye hivyo ni jambo baya sana kufanya hii dhuluma... Hasara hapati mmiliki bali mhudumu maskini atakayekatwa mshahara wake wa sh elfu 70 kufidia deniUkifika Bar agiza tena kwa ukali kama utapiga beer tano basi anza moja moja ukifika ya tano agiza nyingine afu kunywa kidogo sasa hapo fanya kama unaenda chooni au unapiga simu muudumu ataona bado unakinywaji hivyo hata shtuka sasa huo ndo muda wa kusepa ....
Pombe unakunywa kwa raha zako alafu unakimbia bill?Pamoja na unywaji wangu wote sipendi kukimbia bill na natoka home nishajiandaa,ila kitu ambacho sikiwezi ni kukutana na demu bar na kuanza kumnunulia pombe bora ninywe weeeee hadi nitambae ila si kumnunulia demu
Mmh kumbe haya mambo ni kweli watu wanafanyaUnaunga urafiki na fala yoyote hapo bar anaeshangaa shangaa!unaagizia unakunywa fasta na huyo fala unamuagizia safari moja!wakati anakunywa unainuka unatoka nje muhudumu atajua utarudi sababu ya yule mwenzio fala.unamueka bondi hapo
Kama sio Masai sijuiNilikuwa baa moja Mkwajuni nikiwa na fedha ya bia mbili tuu.mara jamaa jirani ambaye simjui akanikataza kulipa akidai atanilipia.
Akaniagizia nyingine tano na kanzisha mazungumzo , mwisho akatoroka na kuniachia bili yake na yangu.
Tahadhari
Umesahau, wakati analeta hiyo ya tano agiza pia mchemsho wa kuku na ndizi nne...Ukifika Bar agiza tena kwa ukali kama utapiga beer tano basi anza moja moja ukifika ya tano agiza nyingine afu kunywa kidogo sasa hapo fanya kama unaenda chooni au unapiga simu muudumu ataona bado unakinywaji hivyo hata shtuka sasa huo ndo muda wa kusepa ....
Umeingia kwenye kumi nane za mtuKama sio Masai sijui
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Nilikuwa baa moja Mkwajuni nikiwa na fedha ya bia mbili tuu.mara jamaa jirani ambaye simjui akanikataza kulipa akidai atanilipia.
Akaniagizia nyingine tano na kanzisha mazungumzo , mwisho akatoroka na kuniachia bili yake na yangu.
Tahadhari