Hizo tano za mwanzo ukibanwa pesa mbele ni hasara kwako.Ukifika Bar agiza tena kwa ukali kama utapiga beer tano basi anza moja moja ukifika ya tano agiza nyingine afu kunywa kidogo sasa hapo fanya kama unaenda chooni au unapiga simu muudumu ataona bado unakinywaji hivyo hata shtuka sasa huo ndo muda wa kusepa ....
Pombe hasara sana ndo hivyo ni kama mapenzi tu. Ukipenda huoni wala husikii chochote![emoji23] [emoji23] [emoji23]
hahah
Atakuwa ni huyu mleta uzi...Nilikuwa baa moja Mkwajuni nikiwa na fedha ya bia mbili tuu.mara jamaa jirani ambaye simjui akanikataza kulipa akidai atanilipia.
Akaniagizia nyingine tano na kanzisha mazungumzo , mwisho akatoroka na kuniachia bili yake na yangu.
Tahadhari
Ukiwa mnywaji ukapewa offa mlinde saana mtoa ofa muda wowote.Pombe hasara sana ndo hivyo ni kama mapenzi tu. Ukipenda huoni wala husikii chochote!
Duh! Hahahaha hongera mkuuSiku moja nilikua Nyegezi Mwanza kuna bar jirani na nilipokuwa naishi. Kuna mhudumu nilimkuta analia....mtoto mzuri wa Kimbulu na lafudhi yake ya kwao. Analia na kulalamika kwa jamaa mwenye tabia ya kugomea kulipa bill zake...anaweza kunywa 5 akadai amepiga 2 tu na anagoma kweli na halipi. Yule mhudumu akawa analia siku hiyo tena akakatwe mshahara....anasema "unadhani mi nimetoka Karatu kuja kujiuza hapa, nitaishije mie...kila siku mshahara unakatwa...mwisho wa mwezi sina kitu. Nijiuze ndio niishi...maisha haya mpaka lini? Siwezi kwa kweli leo utalipa...hapana sijaja hapa kujiuza."
Huruma ikanijia...nilikua na wahuni wangu tulimkwida jamaa akalipa.
Kadem ni kazuri balaa.
Mi huwa bar naenda na hata saiv niko bar ila sipendagi ofa labda nitoe mimiUkiwa mnywaji ukapewa offa mlinde saana mtoa ofa muda wowote.
[emoji106] [emoji106]Mi huwa bar naenda na hata saiv niko bar ila sipendagi ofa labda nitoe mimi
Ajabu inatoka wapi hapo sasa mzawa?Watu mnakuwa wa ajabu kwa nini?
Mkuu hii ni mbinu ya kivitaUnaunga urafiki na fala yoyote hapo bar anaeshangaa shangaa!unaagizia unakunywa fasta na huyo fala unamuagizia safari moja!wakati anakunywa unainuka unatoka nje muhudumu atajua utarudi sababu ya yule mwenzio fala.unamueka bondi hapo
Nataka tu mjue mnawaumiza dada zenu kuliko hao akina Masawe wanaomiliki bar.Duh! Hahahaha hongera mkuu
labda uwe mwenzaohii mbinu nimeipenda na nitaifanyia practical pale kwenye bwalo la FFU au JWTZ kujipima ufanisi wa kuitekeleza mbinu hii adhimu bila uwoga.
Kama nikimudu huku kwa wafunga buti wenye sumu huku uraiani nitakuwa na confidence ya nchi za nje kinyerezi.
Hii nomaNilikuwa baa moja Mkwajuni nikiwa na fedha ya bia mbili tuu.mara jamaa jirani ambaye simjui akanikataza kulipa akidai atanilipia.
Akaniagizia nyingine tano na kanzisha mazungumzo , mwisho akatoroka na kuniachia bili yake na yangu.
Tahadhari
Kiukweli si uungwana!Nataka tu mjue mnawaumiza dada zenu kuliko hao akina Masawe wanaomiliki bar.
Hahaaa ni kweli maana akiondoka tu bila kulipa imekula kwako na bahati mbaya mfukoni uwe na pesa ya Bia 2 tu na umekunywa mpk 5 kwa sababu ni offer [emoji1] [emoji1]Ukiwa mnywaji ukapewa offa mlinde saana mtoa ofa muda wowote.
Cha bure inauaHahaaa ni kweli maana akiondoka tu bila kulipa imekula kwako na bahati mbaya mfukoni uwe na pesa ya Bia 2 tu na umekunywa mpk 5 kwa sababu ni offer [emoji1] [emoji1]