Wazee wa kunukia sogeeni hapa kidogo tupate update

Wazee wa kunukia sogeeni hapa kidogo tupate update

Morg

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2018
Posts
1,301
Reaction score
1,788
Wakuu nimekuwa miongoni mwa mhanga wa matumizi mabaya ya unyunyu ni zaidi ya addicted kama mtu anaetumia mihadarati Ngumu mm kuacha kabisa cost me pesa nyingi kununua Kila kukicha hata kama sijamaliza naapgrade mda wowote Nina pafyume zaidi ya Tano na zote mpya

Kuna mzigo nimeonesha ushatua bandarini upo Yard sahivi hapa. Ndo naumiza kichwa sina pesa ninautani kwenda kuuchukua kutokana na qualifications zako hili bifhaa ni zaidi ya hatari kitu kinaitwa DUNHILL 50k naona hadi aibu . Naona parefu hapo Lkn ndo moyo ushapenda tyar

Note. Mm huu ndo ugonjwa wangu sio mtu wa gambe,mademu wala mm starehe yangu Smart na Kunukia vizuri

Wadau na nyie mje muone mzigo mpya mjini huu hapa unadumu na harusu amazing.


IMG-20210706-WA0009.jpg

 
Nilitegemea game yako iwe level za Creed aventus,TomFord Umbre Leather,Dior Sauvage,Versace Eros ndo useme wewe starehe yako ni kunukia vizuri..kumbe tupo level moja tu ya Nivea dry impact ya 5k.
Hiyo Creed aventus nishaiulizia sana hapa bongo lkn hakukuwa na ile og zaidi za kupima na zile fake chupa sawasawa zinafanana tofaut ngumu sna kama sio mzoefu hadi mlimani City kule
 
Maisha hayako sawa kabisa yaan kuna mtu kunukia ni starehe na haitaji starehe nyingine tena.
 
Habari za wakaTi huu jukwaani,..
Kijana mwenzenu apa naona UblazaMen unanukia nitajien perfum yakueleweka
Bei isiziki 15,000tzs-20k
ShuKranI
 
Unapatikana maeneo ya k,koo 0686350268
IMG-20210708-WA0011.jpg
 
Bidhaa mpya karibuni wadau maeneo ya k,koo 0686350268
IMG-20210708-WA0007.jpg
IMG-20210708-WA0037.jpg
 
Nicheki mm nauza hizo mambo kaka
 
Back
Top Bottom