Wazee wa kunukia sogeeni hapa kidogo tupate update

Wazee wa kunukia sogeeni hapa kidogo tupate update

JPEG_20210712_090717_2058892815708380267.jpg

[emoji115][emoji115][emoji115][emoji1474][emoji1474][emoji1474]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Sent from my SM-J720F using JamiiForums mobile app
Umeona kitu La' Dior Sauvage hapo na Pembeni yake kuna Sama Dubai. Then unasema beberu hanukii. Vipi lakini shwari?
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji125][emoji125][emoji125]
 
Hiyo Creed aventus nishaiulizia sana hapa bongo lkn hakukuwa na ile og zaidi za kupima na zile fake chupa sawasawa zinafanana tofaut ngumu sna kama sio mzoefu hadi mlimani City kule
Nenda pale SH Amon utakutana nayo price yake kama 950k to 1M tuu pesa ya Madaf
 
Hi kitu smell yake niaje wakuu!.. Na bei pia inacheza ngap
Screenshot_20210720-205659.jpeg
 
Nunua "fantastic" ni Tsh.4000/= tu.Scent Yake Hutojutia.
 
Kariakoo mtaa gani ntapata pafyumu za kupima?
Mtaa wa msimbazi karibu na sheli ya Big bon opposite Kuna duka la wahindi wanauza za kupima pale hadi kina Creed wanauza
 
Here we go invicto kitu kinadum three days 25k
IMG-20210723-WA0011.jpg
 
Duka lipo mtaa wa Lumumba opposite na Bakhresa Tower
IMG-20210723-WA0008.jpg
IMG-20210723-WA0006.jpg
 
Mwenyewe kuhitaji bidhaa my no is ..0686350268
 
Back
Top Bottom