Wazee wa kuomba Ban mko wapi? Siwaoni! Leteni ahadi hizo Mods wawape haki zenu mkichinjwa kwenye mechi ya watani

Wazee wa kuomba Ban mko wapi? Siwaoni! Leteni ahadi hizo Mods wawape haki zenu mkichinjwa kwenye mechi ya watani

Cute Wife

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2023
Posts
1,906
Reaction score
5,000
Wakuu,

Mechi hii nashangaa haina amsha amsha za watani kuomba Ban. Ni kwamba hamjiamini au, au kila mmoja anajua atanyukwa?:KEKLaugh:

Au ndio mnaogopa yaliyomkuta aliyemba ban mara mwisho?

Mimi nawakilisha shabiki maandazi wote JF tunaozomea yoyote anayefungwa na kutoa shangwe la kutosha kwa washindi. Leteni ahadi hizo jioni kesho kuchangamke🤣🤣.

====

Mods muda ukifika wapewe haki zao
- Uchambuzi: Simba ikimfunga Yanga nipigwe ban wiki
 
Wakuu,

Mechi hii nashangaa haina amsha amsha za watani kuomba Ban. Ni kwamba hamjiamini au, au kila mmoja anajua atanyukwa?:KEKLaugh:

Au ndio mnaogopa yaliyomkuta aliyemba ban mara mwisho?

Mimi nawakilisha shabiki maandazi wote JF tunaozomea yoyote anayefungwa na kutoa shangwe la kutosha kwa washindi. Leteni ahadi hizo jioni kesho kuchangamke🤣🤣.
mambo
 
Wakuu,

Mechi hii nashangaa haina amsha amsha za watani kuomba Ban. Ni kwamba hamjiamini au, au kila mmoja anajua atanyukwa?:KEKLaugh:

Au ndio mnaogopa yaliyomkuta aliyemba ban mara mwisho?

Mimi nawakilisha shabiki maandazi wote JF tunaozomea yoyote anayefungwa na kutoa shangwe la kutosha kwa washindi. Leteni ahadi hizo jioni kesho kuchangamke🤣🤣.
Haa wakuchangamshe akili na mwili, watakuchangamusha mwili endapo utaamua kurukaruka
 

Wakuu,

Mechi hii nashangaa haina amsha amsha za watani kuomba Ban. Ni kwamba hamjiamini au, au kila mmoja anajua atanyukwa?:KEKLaugh:

Au ndio mnaogopa yaliyomkuta aliyemba ban mara mwisho?

Mimi nawakilisha shabiki maandazi wote JF tunaozomea yoyote anayefungwa na kutoa shangwe la kutosha kwa washindi. Leteni ahadi hizo jioni kesho kuchangamke🤣🤣.
 
Nina uhakika na hii YANGA, simbwa wakishinda nipigeni ban ya wiki nzima
 
Back
Top Bottom