Wazee wa legacy wengi wao wanawachukia matajiri na ni mafukara wakubwa

Wazee wa legacy wengi wao wanawachukia matajiri na ni mafukara wakubwa

Mwizukulu mgikuru

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2021
Posts
5,715
Reaction score
13,739
Wale wanaojifanya ni wazalendo na wazee wa legacy ya mwendazake wengi wao ni mafukara wakubwa.

Wamepambana na maisha wamechoka na wamekata tamaa wamebaki kuwachukia matajiri wakihisi matajiri kama akina Rostam Aziz ndio wanaokula riziki zao.

Aisee wazee pambaneni kama bado upo hai haina haja ya kuwachukia matajiri pambana mpaka tone lako la mwisho na ufe kishujaa ukiupigania uchumi wako.
 
Haa 🤣🤣😂😂🤣
Unataka Kumsema Vibaya Shujaa, Mzilankende Chuma Alisema Anataka Kuhakikisha Matajiri Yanaishi Kama Masikini Na Majizi Nitalala Nayo Mbele
 
Haa 🤣🤣😂😂🤣
Unataka Kumsema Vibaya Shujaa, Mzilankende Chuma Alisema Anataka Kuhakikisha Matajiri Yanaishi Kama Masikini Na Majizi Nitalala Nayo Mbele
Zile zilikuwa ni chuki tu mkuu sio kila tajiri ni mwizi
 
Niko tayari hata kutandikwa risasi lakini siko tayari kumsifia yule marhum kama ni madaraja yamejengwa kwa kodi za wananchi hakuna pesa yake pale wala ya baba yake
 
Matajiri wapo ulaya mkuu.

Sio hawa wetu wanaoua tembo na kupakiza twiga kwenye ndege.

Yaani kuwa tajiri usiwe mwizi kwa Afrika nakataa.
 
Mmeddhulumu wanyonge halafu mnawatukana
Magufuli anapendwa na wanyonge na watu wenye akili za kimasikini.
Mtu mwenye akili za kimasikini anaamini tajiri ni mwizi. Kwanini na wewe usidhulumu uwe tajiri kama ni rahisi?
Pesa siyo matakle kila mtu anayo. Pambana ziwe zako
Sikiliza
Siyo kwa ubaya by MwanaFA ft Harmonize
 
Magufuli anapendwa na wanyonge na watu wenye akili za kimasikini.
Mtu mwenye akili za kimasikini anaamini tajiri ni mwizi. Kwanini na wewe usidhulumu uwe tajiri kama ni rahisi?
Pesa siyo matakle kila mtu anayo. Pambana ziwe zako
Sikiliza
Siyo kwa ubaya by MwanaFA ft Harmonize
umegonga mulemule
 
wako mtaani sasahivi wakiona watu wanaweka heshima barabarani na namba E za maana wanaumwa roho kama nini, Kimsingi mzee wa legacy na kampani zake ni masikini sanaaaa ndio maana walikua hawapendi mtu kuwa na kitu. uliona wapi jitu lilikuwa linachunga mbuzi huko bara eti limekuwa Rais, lazima likiona watoto hata wamevaa viatu lione wivu.
 
Matajiri wapo ulaya mkuu.

Sio hawa wetu wanaoua tembo na kupakiza twiga kwenye ndege.

Yaani kuwa tajiri usiwe mwizi kwa Afrika nakataa.
Unamawazo mgando na kimasikini na nyie ndio mnaozaa watoto kama utitiri mkijipa matumaini eti kila mtoto anakuja na riziki yake kwa taarifa yako watu kama akina January makamba leo hii wasingekuwa mawaziri kama wazazi wao wasingejipinda kuwapeleka shule za gharama na kuwatengenezea mazingira
 
Back
Top Bottom