Wazee wa masumbwi: Bondia gani aliyekuvutia enzi zake?

Wazee wa masumbwi: Bondia gani aliyekuvutia enzi zake?

Hakuna bondia bora kama Joe Frazier kupata tokea,basi walikua wanapewa kina Mohamed Alli lakini Frazier alikua the best

R.I.P Joe
Unamsema Frazier huyu au kuna mwingne?
 
Fatilia,hata huyo aliemlipizia kisasa Mohamedi Ali tayari umri ulikua umekwenda
Holmes hakuwa Mzee kama unavyosema walipishana umri maana kipindi hicho Tyson alikuwa 20s lakn fuatilia mapambano yote ni kweli aliokuwa anawapiga ni wazee?
 
Mimi mkuu napenda sana mabondia wa uzito wa kati jamaa wanaburudani sio poa na wepesi mno yani hawachoshi kuwatazama naanza na Saul 'canelo"alvalez,uyu ndo mwamba kwa sasa wa dunia katika middle weight na vile vile kwa ubora wa division zote,halafu anafatia mfalme wa knockout duniani amepigana mapambano 39 ko ni 35 Gennady Gennadiyovich Golovkin [GGG]uyu ndo role modo wangu jamaa ni sugu balaa ukitaka umuelew cheki pambano lake na canelo la kwanza na la pili na pambano na jamaa wa kuitwa marco antonio rubio ndo utamuelewa triple G,Terence crawford,amir khan,mwakinyo,nasibu ramadhan,haidar mchanjo na dogo wa tanga anaitwa salim mtango,miguel cotto,pacman dah kwa kweli wapo wengi mkuu.ila division ya middle weight naipenda sana ata welterweight sio mbaya.
daaaaaaah mkuu hapa tuko pamojaa
napenda mnoo ndonga za uzito wa kati
wana foot work nzurii, wakiingia combination ya nguvuu wanafanya
mimi pia mfuasi wa
Saul Alvares Carnelo
Triple G
Miguel Cotto
Pacman Paquiao
Amir Khan
Selemani Kidunda
Mfaume Mfaume
 
Tyson alipangiwa mapambano mengi na wazee ndo maana aliwapiga tu!
Acha utani jombaa. Alipigana na Holmes January 22 1988 na alimpiga kwa ko wakat Evander alipgana na Holmes June 19 1992 na alimpga kwa point halafu unasema alikuwa anapigana na wazee???!!
 
Back
Top Bottom