Wazee wa masumbwi: Bondia gani aliyekuvutia enzi zake?

Hakuna bondia bora kama Joe Frazier kupata tokea,basi walikua wanapewa kina Mohamed Alli lakini Frazier alikua the best

R.I.P Joe
Unamsema Frazier huyu au kuna mwingne?
Your browser is not able to display this video.
 
Fatilia,hata huyo aliemlipizia kisasa Mohamedi Ali tayari umri ulikua umekwenda
Holmes hakuwa Mzee kama unavyosema walipishana umri maana kipindi hicho Tyson alikuwa 20s lakn fuatilia mapambano yote ni kweli aliokuwa anawapiga ni wazee?
 
daaaaaaah mkuu hapa tuko pamojaa
napenda mnoo ndonga za uzito wa kati
wana foot work nzurii, wakiingia combination ya nguvuu wanafanya
mimi pia mfuasi wa
Saul Alvares Carnelo
Triple G
Miguel Cotto
Pacman Paquiao
Amir Khan
Selemani Kidunda
Mfaume Mfaume
 
Tyson alipangiwa mapambano mengi na wazee ndo maana aliwapiga tu!
Acha utani jombaa. Alipigana na Holmes January 22 1988 na alimpiga kwa ko wakat Evander alipgana na Holmes June 19 1992 na alimpga kwa point halafu unasema alikuwa anapigana na wazee???!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…