Kv-london
JF-Expert Member
- Jan 24, 2014
- 2,877
- 5,022
Habari?
Duuh! tangu mwaka huu nashuhdia mikeka yangu ikiwa inadead tu yani sijui timu zangu nnazozipa ushindi zimeshuka kiwango,
mfano majuzi man city niliwuwukea elfu 20 nikaliwa, Barca ndio majanga Everton ndio majanga.
Nipen ushauri wanangu maana mtaani kwenyewe hakuna kazi nalalia double deka kwa mama.
Duuh! tangu mwaka huu nashuhdia mikeka yangu ikiwa inadead tu yani sijui timu zangu nnazozipa ushindi zimeshuka kiwango,
mfano majuzi man city niliwuwukea elfu 20 nikaliwa, Barca ndio majanga Everton ndio majanga.
Nipen ushauri wanangu maana mtaani kwenyewe hakuna kazi nalalia double deka kwa mama.