Wazee wa mwaka 2070 hali itakavyokuwa pindi watakapo kuwa wanasimulia wajukuu zao enzi za ujana wao

Wazee wa mwaka 2070 hali itakavyokuwa pindi watakapo kuwa wanasimulia wajukuu zao enzi za ujana wao

OMOYOGWANE

JF-Expert Member
Joined
Dec 30, 2016
Posts
4,701
Reaction score
11,920
😆

Just imagine sasa hivi umri ulionao mwaka 2070 utakuwa na miaka mingapi?

Kizazi cha 1990 mpaka 1999 ndio watakuwa wazee wa busara 😀

HALI ITAKAVYOKUWA

Enzi zetu kulikuwa na msanii anaitwa Meja kunta na Man fongo wakali wa singeli nyinyi watoto wadogo hamjui kitu

Enzi zetu Raisi wa Yanga akiwa Eng Hersi Yanga iliinyanyasa sqna Simba, Hivi mnamjua Dube kweli nyinyi? Mnamjua Kibu nyinyi? 😆

Mjukuu wangu weka wimbo wa Diamond na Marioo nitolee hilo li wimbo la kizungu

Enzi zetu ili ulambe teuzi ilikuwa lazuma uwe chawa wa mama☺️


Jamani njooni tuwaelezee wazee wa mwaka 2070 watakavyokuwa maana nmefikiria nkajikuta nacheka mwenyewe
 
Sensa iyopita inasema nchini Tanzania raia wenye umri wa zaidi ta miaka 70 ni asilimia 3 tu
 
HIZI NDIYO ZITAKUWA HEADING ZA STORY(S)
1. Mwamposa, mzee wa upako , kiboko ya wachawi , geodavie , nk
2. Diamond, harmonize, marioo, jux, Zuchu chuu, Nandi , nk
3. Samia, murope, nape, tulia akson, ndugai,
4. Yanga , simba , Azam, Man City, manyuu , Liverpool nk
5. Degree, diploma, nk moth**https://jamii.app/JFUserGuide
6. Sgr, uda mwendokass, shabibi, happy country, nk
7. Majiji yalikuwa dar, arushaa, mwanza, tangaa, dom, na mbeya...
8. Nchi ilikuwa na bandari sema mangungo wa pili aligawa tu...
9. I phone, tecno, g pix, huaweii,
Samsung, lg nk
10. Tata, yutong, Benz, Ferrari, Toyota, nk mother fu**k

11. Kkkt, Sunni, shia, rc, nk
12. PALAMAGAMBA KABUDI, JANUARY MA-KAMBA, NAPE NAUYEE, SAhundred, MAJALIWA , NYERERE , MKAPAA, MANDELA, KENYATTA, TRUMP, NETANYAHUU, Putin, AYATOLLAH, hahahah
13. Airtel, voda , tiGO,
14. Gucci, Bottega venneta, fendi, nike, Santos, Louis Vuitton
15. Muungano #jmt

16. UDSM, SAUT, UDOM , MZUMBE,


17. R.I.P jamii forum 😂😂
 
HIZI NDIYO ZITAKUWA HEADING ZA STORY(S)
1. Mwamposa, mzee wa upako , kiboko ya wachawi , geodavie , nk
2. Diamond, harmonize, marioo, jux, Zuchu chuu, Nandi , nk
3. Samia, murope, nape, tulia akson, ndugai,
4. Yanga , simba , Azam, Man City, manyuu , Liverpool nk
5. Degree, diploma, nk moth**JamiiForums' Community Engagement Guidelines | Mwongozo wa Ushiriki kwenye Mijadala
6. Sgr, uda mwendokass, shabibi, happy country, nk
7. Majiji yalikuwa dar, arushaa, mwanza, tangaa, dom, na mbeya...
8. Nchi ilikuwa na bandari sema mangungo wa pili aligawa tu...
9. I phone, tecno, g pix, huaweii,
Samsung, lg nk
10. Tata, yutong, Benz, Ferrari, Toyota, nk mother fu**k

11. Kkkt, Sunni, shia, rc, nk
12. PALAMAGAMBA KABUDI, JANUARY MA-KAMBA, NAPE NAUYEE, SAhundred, MAJALIWA , NYERERE , MKAPAA, MANDELA, KENYATTA, TRUMP, NETANYAHUU, Putin, AYATOLLAH, hahahah
13. Airtel, voda , tiGO,
14. Gucci, Bottega venneta, fendi, nike, Santos, Louis Vuitton
15. Muungano #jmt

16. UDSM, SAUT, UDOM , MZUMBE,


17. R.I.P jamii forum 😂😂
Mkuu umetisha
 
Back
Top Bottom