Inyala Pass vipi wamefukia yale mashimo na ile de tour imeisha au ndio yale yale?pls hope's zile tuta za Mafinga zimeondolewa!
Dodoma[emoji1696]View attachment 2506680
View attachment 2507172uelekeo matema beach.
Ahsante sana mkuu, why tuta za iringa wasiondoe?,naona mikumi national park kuna unafuu kidogo wa matutaInyala ile detour bado kukamilika, gari bado zinapigwa mkono kuruhusu kupita kwa zamu...
Hahah...tuta za mkoa wa Iringa wote haziwezi ondolewa kamwe...
Mchana wenyewe tupo na trip nzima hatutoi hata buku!
[emoji38]Hahaha halafu mchana...mwamba atakuwa ana chenji chenji za buku 5 kibao
Duh! Magazeti tena! [emoji38]Mzee unasukuma gari ya magazeti ama?
Ahsante sana mkuu, why tuta za iringa wasiondoe?,naona mikumi national park kuna unafuu kidogo wa matuta
Duh! Magazeti tena! [emoji38]
Halafu hili la mkuu RRONDO kuendesha gari ndani ya highways zetu bila ya kupigwa mkono, sijui anafanikisha vipi, binafsi siwezi, nilijaribu kuendesha morogoro (200km),na kutumia zaidi ya 4hrs still nililiwa kichwa ×2,ndio maana binafsi ni usiku tu, unaondoka tunduma at 14:00hrs, by 18:00 upo Jacaranda city ,kutoka hapo giza limeingia ni kutafuta tanker moja Lina set paceKuendesha chombo mchana kumenishinda kabisa, sijawahi kupona mkono wa wazee wa favor...
Sababu siwezi endesha gari highway halafu nifuatishe vibao vyote, huwa napunguza mwendo maeneo yenye watu tu...
Yes mkuu,mikumi national park kupo safi, chini pale kuanzia iyovi Pako safi, ila why wameweka yale matuta porini kule?,loooo kuna rasta mbaya mno kuanzia hapa kwenye pit stop ya pale ipogolo hadi ifunda, tuta za mafinga ni za ovyo mnoSehemu kubwa ya Iringa ina matuta kwa zamani kulikuwa kunatokea sana ajali, siku hizi hadi kipande cha Ifunda <> Mafinga <> Nyololo <> Sao Hill <> Makambako kina tutaz wakati zamani kilikuwa cheupe unayoosha goti tu...
Mikumi nayo imepunguzwa zile rasta 'mtoto wa tuta' baada ya kurekebishwa lami...
Mkuu kama una muda tupe lecture humu mbinu za kuendesha mchana na usipigwe mkono!,maana pale sanga sanga check point utoboe, then Ruaha darajani (hii check points ndio notorious kwa sasa,imeipita sanga sanga one)utoboe, ukatoboe ya wanging'ombe check point, bila ya kuacha buku buku humu !,naona haliwezekani kabisaMchana wenyewe tupo na trip nzima hatutoi hata buku!
Labda wewe utuambie huwa unapigwa faini bila kosa? Kama unapigwa faini kwa gari mbovu rekebisha,kama speeding just observe speed limit.Mkuu kama una muda tupe lecture humu mbinu za kuendesha mchana na usipigwe mkono!,maana pale sanga sanga check point utoboe, then Ruaha darajani (hii check points ndio notorious kwa sasa,imeipita sanga sanga one)utoboe, ukatoboe ya wanging'ombe check point, bila ya kuacha buku buku humu !,naona haliwezekani kabisa
Only speed, siwezi endesha under 50km/hrs kwenye freeways, it's craze mkuu speed limits za majirani zetu ni tofauti kabisa na sisi, Rwanda 80km,Namibia, sa, Botswana ,Zambia ni kuanzia 100km/h to 120km/h,sasa Tanzania max speed limit ni ngapi?,maana kuna vibao vya 50 tu T1 yote ila vinatofautiana mwenekanoLabda wewe utuambie huwa unapigwa faini bila kosa? Kama unapigwa faini kwa gari mbovu rekebisha,kama speeding just observe speed limit.
Halafu hizi money making check points unakwepa vipi mkuu, sanga sanga check point!!!Labda wewe utuambie huwa unapigwa faini bila kosa? Kama unapigwa faini kwa gari mbovu rekebisha,kama speeding just observe speed limit.
Sikuelewi hata shida yako ni nini. Fuata sheria ya nchi husika. Ukiwa Zambia endesha kwa sheria za huko usilazimishe uko Tz uendeshe kwa speed za Botswana.Only speed, siwezi endesha under 50km/hrs kwenye freeways, it's craze mkuu speed limits za majirani zetu ni tofauti kabisa na sisi, Rwanda 80km,Namibia, sa, Botswana ,Zambia ni kuanzia 100km/h to 120km/h,sasa Tanzania max speed limit ni ngapi?,maana kuna vibao vya 50 tu T1 yote ila vinatofautiana mwenekano
Jamaa ana balaa[emoji23][emoji23]Wewe unaishi barabarani?
Hatari hii [emoji115] ni timeline ya mizunguko ya jana tu dar [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Jamaa ana balaa[emoji23][emoji23]