ISO M.CodD
JF-Expert Member
- Feb 17, 2013
- 7,845
- 16,942
Vijana wenye fujo watachafua barabaraISO M.CodD next week napandisha Kili najua barabara itachafuka sana ila sisi mwendo wetu wa wastaafu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vijana wenye fujo watachafua barabaraISO M.CodD next week napandisha Kili najua barabara itachafuka sana ila sisi mwendo wetu wa wastaafu.
Safari njema mkuu, kila la heriJ4 naliamsha moshi to moro,Natulia pale town kesho yake naunga kilombero niko na kiberiti changu Toyota ist cc 1290
Shukran mkuuSafari njema mkuu, kila la heri
Nilikauza haka kadude, roho inaniuma mpaka kesho aiseeeJ4 naliamsha moshi to moro,Natulia pale town kesho yake naunga kilombero niko na kiberiti changu Toyota ist cc 1290
Kwanini mkuu?Nilikauza haka kadude, roho inaniuma mpaka kesho aiseee
Kwa nn mkuu Mbn nainjoy nako sana hasa kwenye swala la mafutaNilikauza haka kadude, roho inaniuma mpaka kesho aiseee
Kwanini mkuu
Kwa nn mkuu Mbn nainjoy nako sana hasa kwenye swala la mafuta
Aaah bac tuu kaka, ujana na kuigana…
Niliitunza sn hii gari, oil mpya kila kilometer chache, coolant ya uhakika, gear box oil genuine, mziki mkubwa, unyunyu wa kwenda, rim sport kali.
Mafuta ilikuwa inanusa tuu, haikuwai nisumbua kwa chochote kile… sema kila ninavyowasha tv 📺 nasikia kelele za IST, IST, IST.
Mara huyu kashinda mchezo super, yule kapewa na vodacom. mara hawa comedian uchwara waiponde… nikienda kwny harusi mc hachekeshi mpaka aitaje IST. Nikisimama Kwenye mataa nitapigiwa horn hadi na bajaji.
Now nimehamia kwny subaru, maintenance yake inanitoa roho.
inshort I miss my IST