Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kipande pendwa hiki. ISO M.CodD kipande hiki ndio tulikutana nikakuacha uende na mambio yako 🤣🤣View attachment 3186558
Guess the location...
Aah 🤣 enzi hizo nakimbia skuhizi nimeacha...Kipande pendwa hiki. ISO M.CodD kipande hiki ndio tulikutana nikakuacha uende na mambio yako 🤣🤣
Inakaribia 400HP sioGari hio ukiiona unaweza kuichukulia poa ila jichanganye uone moto.
Angalizo lakini: kuacha mbio haimaanishi natembea 80 🤣🤣 ni kwamba sitembelei kisahaniUmeacha lini mbio? Si utalala njiani na km zako 1500 kwa siku!
3.0 TT wameitune kifaza sana kutoa HP hizo. But that is Volvo being Volvo emphasis yako sio power.Around 300HP lakini si unajua mzungu anaachia hadi 250KPH
Hii ipo huku inapumua hewa baridi ya Mlimani. Asubuhi unaishuhudia kabisa ECU inavyojiadjust kupambana na baridi iliyopoFebruary mwishoni nitapandisha tena Kili
Hii ni B-class?.Leo ni Songea- Njombe - Makambako to mbeya. Hapo ni mwisho
Yapyap mkuu, 2.0cc with turboHii ni B-class?.
Hapa kama mlima nyoka kwa mbele hiviLeo ni Mbeya to Dar na huu mnyama, 3.0 twin turbo...
Yes, Inyala hapo kabla ya kuanza kushuka pipeline huwa kuna kusubiliana kati ya malori na gari ndogo/mabasiHapa kama mlima nyoka kwa mbele hivi
Daah kwamba hapo laki na 40 ungekuwa unafika?Mbeya to arusha na rav4 kilitime, niliweka mafuta jumla ya 240k, lita 83. Nimefika arusha gauge ipo almost (near to) ½. Kwa magari yetu haya ya kizamani naona ni decent consumption. Engine 1zz
Laki na 40 hapana, possibly ni 190k mpk 200kDaah kwamba hapo laki na 40 ungekuwa unafika?