Lamar BlacAmerican
JF-Expert Member
- Aug 9, 2013
- 974
- 2,305
Sio mchezo baridi la hapanapita makambako hapa muda huu uelekeo ni Mbeya from Tunduru. Inapuliza sio mchezo
Kama kawaida yako mzee unayeishi barabaraniNjombe. [emoji1696]View attachment 2565361
Baridi la hapa njombe sio poa!
Hapo ni balaa umefikia wapi hillsideBaridi la hapa njombe sio poa! View attachment 2565490
Degree centigrade ngapiBaridi la hapa njombe sio poa! View attachment 2565490
Kama kawa..Hapo ni balaa umefikia wapi hillside
16c
Haha noma sana...kuna mkoa nilienda kuna baridi sana nimeamka asubuhi nashika hela Kwenye wallet zote za baridi kama zimetoka Kwenye refrigerator
Hahahah anapata tena sana...jamaa zangu wamenunua magari kutoka kwake mazuri tuHivi kwa vimaneno vyake huwa anapata wateja kweli!!!!???
BuchaMizunguko kidogo
Yaah was on my way to loliondo (kibaha)kula nyama 😆😆Bucha
Jipange upige hizo trip mkuuMkuu hizo route hadi natamani.