kuwauzia wanaokata mkuu...Hii tunafanyaje wazee?View attachment 2567475
Huko bila maji ya moto huogi,na usiku baridi inaingia hadi kwenye gari hata ufunge vioo,nililala kwenye gari siku moja kidogo nigandenapita makambako hapa muda huu uelekeo ni Mbeya from Tunduru. Inapuliza sio mchezo
Gari imeenda swimmingHii tunafanyaje wazee?View attachment 2567475
Dah Mzee ukifika Mkoka hapo ndio ndio njiapanda ya kwenda kijijini kwetu.Umenikumbusha home aiseeDestination:- Arusha-Orkusmet Simanjiro to Kiteto - Mkoka - Mbande to Dodoma
Unyama. View attachment 2570134
Kila nikibalance hesabu zinagoma broJipange upige hizo trip mkuu
MtengweUmetisha man
Nilisafiri na chalii mmoja hivi kwenye fortuner akaniambia washa dim lights na double hazard afu pandisha vioo maana gari iko na tinted kalii halafu tembea
Nakumbukaa njia nzima hamna askari aliyetusumbua na gari za kawaida zikawa zinatupisha yani ilikua mwendo mdundo chapa ilale
Road tripDah Mzee ukifika Mkoka hapo ndio ndio njiapanda ya kwenda kijijini kwetu.Umenikumbusha home aisee
Unatakiwa uwe na nidhamu ya hali ya juu 😅Bongo ukiwa na Sedan Lazima ujute na mituta barabarani
Yaan hata likiwa Benz Lazima ujuteUnatakiwa uwe na nidhamu ya hali ya juu 😅