Duh! Noma sanaHapana sizinziagi hata kidogo.. na kwa kuchukua taadhari huwa napiga Espresso ile strong , napiga redbull kavu kavu na ingine na changanya kwenye maji ya lita 1.5 hata mawili au matatu.. hapo hakuna usingizi hata kiduchu unao jipendeza na huwa nazima kabisa mziki kwenye gari ili niwe na focus ya hali ya juu.. na mwiko kufungua dirisha sijui kupugwa upepo
Mziki mchana kwangu ndio huwa unanoga sana.. ila usiku,nisha jisoma,na lose focus haraka kukiwa na aina yoyote ya sound.Lone wolf....Mimi sasa muziki siwezi kuzima kwasababu najua ikipita tracks 20 nishapiga umbali mrefu sana!
Wanasinzia vizuri me mwenyewe shahidi wa hili.Binafsi naamini madereva wengi kama siyo wote kuna point huwa wanasinziaga bila kujua! Huwa naamini kufika salama si Nguvu yangu mwenyewe bali Mungu.Nilishawahi park gari nyumbani alafu nikajiuliza mahali fulani nilipitaje pitaje na kona yote ile bila changamoto sababu sikumbuki chochote.
Ni wa kipekee sana 😀Duh wewe kiboko!
Nakumbuka mara ya Kwanza na ya mwisho kusinzia barabarani nilipiga trip nyingi mchana hadi usiku wa manane! Nilitoka mji mmoja nikapeleka mizigo mji mwingine. Nikarudi, jioni nikaenda mji mwingine kuchukua mtu, tukaenda mji mwingine kula bata hadi usiku wa manane then nikamrudisha mjini kwake ili nirudi mji wangu usiku huo huo. Hapo kati wakati narudi kilichokuwa kinanishtua ni kelele za mistari ya pembeni ya barabara na kwasababu ilikuwa usiku mkubwa magari machache ndio pona yetu. Sikuwahi kurudia tena kufanya hivyo.Binafsi naamini madereva wengi kama siyo wote kuna point huwa wanasinziaga bila kujua! Huwa naamini kufika salama si Nguvu yangu mwenyewe bali Mungu.Nilishawahi park gari nyumbani alafu nikajiuliza mahali fulani nilipitaje pitaje na kona yote ile bila changamoto sababu sikumbuki chochote.
Naturally,ubongo unapokuwa active for so long huwa unakuwa exhausted,na unapoanza kuwa exhausted huja na dalili zake ikiwemo kuhisi uchovu hvyo huitaji kupumzishwa kwa kiasi cha muda flani ili upate efficiency yake ya awali.Sasa unapolazimishwa kuendelea kufanya kazi kupita uwezo wake kuna point ikifika hauleti dalili tena na hapo ndo mtu mnamkuta analala ghafla while driving at the middle of the road.Kivipi dadavua ?
Thanks God you are Alive. Watu wanashauriwa wasiendeshe magari kwa muda mrefu muda ambao mara nyingi ni muda wao wa kulala manake it's most likely watasinzia.Nakumbuka mara ya Kwanza na ya mwisho kusinzia barabarani nilipiga trip nyingi mchana hadi usiku wa manane! Nilitoka mji mmoja nikapeleka mizigo mji mwingine. Nikarudi, jioni nikaenda mji mwingine kuchukua mtu, tukaenda mji mwingine kula bata hadi usiku wa manane then nikamrudisha mjini kwake ili nirudi mji wangu usiku huo huo. Hapo kati wakati narudi kilichokuwa kinanishtua ni kelele za mistari ya pembeni ya barabara na kwasababu ilikuwa usiku mkubwa magari machache ndio pona yetu. Sikuwahi kurudia tena kufanya hivyo.
😀😀😀😀.. mie safari kila kukicha.. mie KuhaniDuh! Noma sana
So huna hata road trips na babe? Au we padri?
Ha ha ha hatari sana. Kuna watu hasa Eastern European wanapenda kufanya kazi masaa mengi sasa ili wasisinzie au kuchoka wanapiga hizo red bull,wengi huwa wanadondoka na kufa ghafla. Anaepona ni yule siku anaenda kulala leo jioni anaamka kesho usiku! Usingizi ukizidi unasinzia huku unatembea(ishanitokea).Naturally,ubongo unapokuwa active for so long huwa unakuwa exhausted,na unapoanza kuwa exhausted huja na dalili zake ikiwemo kuhisi uchovu hvyo huitaji kupumzishwa kwa kiasi cha muda flani ili upate efficiency yake ya awali.Sasa unapolazimishwa kuendelea kufanya kazi kupita uwezo wake kuna point ikifika hauleti dalili tena na hapo ndo mtu mnamkuta analala ghafla while driving at the middle of the road.
Tunaweza kulinganisha na gari-Unapoona dashboard ya gari inakuonyesha taa nyekundi huwa linaashiria problem flan flan kwenye chombo husika ili marekebisho yafaanyike ingawa halitokuzimia ghafla,lakini ukili force,there is a point na lenyewe litakuzimia at the middle of the road.
*Dawa ya uchovu wa driving ni ku park gari pembeni-Either ulale au utembee tembee kidogo nk.
Unachosema upo sahihi kabisa mkuu. Nimeisha jisoma sana na ndio maana nafanya hivyo.. huwa natumia hizo kama cha ziada, ila hata bila hizo nakesha bila shida kama nimepumzika vya kutosha kabla ya kuanza safari. Usingizi ni swala la brain yako ulivyo i train. Kuna kipindi nakuwa na kazi zangu za kawaida inaweza nichukua hata siku mbili hadi tatu bila hata kufumba macho.. na hata wenzangu kazini huwa nawaeleza hivyo na huwa wana nishangaa sanaNaturally,ubongo unapokuwa active for so long huwa unakuwa exhausted,na unapoanza kuwa exhausted huja na dalili zake ikiwemo kuhisi uchovu hvyo huitaji kupumzishwa kwa kiasi cha muda flani ili upate efficiency yake ya awali.Sasa unapolazimishwa kuendelea kufanya kazi kupita uwezo wake kuna point ikifika hauleti dalili tena na hapo ndo mtu mnamkuta analala ghafla while driving at the middle of the road.
Tunaweza kulinganisha na gari-Unapoona dashboard ya gari inakuonyesha taa nyekundi huwa linaashiria problem flan flan kwenye chombo husika ili marekebisho yafaanyike ingawa halitokuzimia ghafla,lakini ukili force,there is a point na lenyewe litakuzimia at the middle of the road.
*Dawa ya uchovu wa driving ni ku park gari pembeni-Either ulale au utembee tembee kidogo nk.
Duh walevi umenikumbusha jamaa wanaokunywa konyagi wanasema inakata memory. Wengi wakiamka asubuhi cha Kwanza anaangalia gari ipo? Akiiona anarudi kulala,hapo hakumbuki barabarani hadi nyumbani ni nini kilitokea!😁 😁 😁 😁 It's very strange kwa kweli.Kama safari yangu natarajia kuendesha hata 20km to drink alcohol na kurudi nategemea itakuwa usiku kidogo,huwa na avoid kuendesha gari peke yangu kuepuka usingizi pengine wa ghafla au mengineyo.Story zinaepusha mengi,Ingawa still naamini tumeumbwa tofauti na kila mtu ana style yake ya kuji manage.
Nashukuru sana kwa ku share experience yako.Hii itachangia kujengea watu uelewa na kuokoa maisha mengi.Ha ha ha hatari sana. Kuna watu hasa Eastern European wanapenda kufanya kazi masaa mengi sasa ili wasisinzie au kuchoka wanapiga hizo red bull,wengi huwa wanadondoka na kufa ghafla. Anaepona ni yule siku anaenda kulala leo jioni anaamka kesho usiku! Usingizi ukizidi unasinzia huku unatembea(ishanitokea).
Sawa Kuhani 😀😀😀😀😀😀.. mie safari kila kukicha.. mie Kuhani
Nimecheka sana manake umenikumbusha mbali mnoo 😁 😁 😁 .Kuna mzee alishanisimulia chanzo cha kuacha kunywa bia za kampan na marafiki.Huyu mzee alipark gari mtaroni akiwa amelewa usiku karibu na petrol station,Sasa ameamka asubuh anatafuta gari aende kazini,gari halionekani ila ufunguo anao,anakwambia ilifikia hatua akatafuta gari kwenye suruali 😁😁😁,ghafla washkaji zake wanampigia simu mbona kaegesha gari mtaroni karibu na petrol station ndo akili zikamrudi na kukumbukaDuh walevi umenikumbusha jamaa wanaokunywa konyagi wanasema inakata memory. Wengi wakiamka asubuhi cha Kwanza anaangalia gari ipo? Akiiona anarudi kulala,hapo hakumbuki barabarani hadi nyumbani ni nini kilitokea!
Kuna kale ka kipande ka kutoka babati unaitafta kondoa...Babati Arusha is the best. Kwanza ina mandhari nzuri.
Kondoa Dom kawaida tu me naona.
Ajali sometimes huwa inatokeaga in a single day,na hiyo single day wengi wetu ndo hatuijui.Hizi sheria za barabarani zinakuwa updated kila kukicha ili kutukinga na madhila yanayowapata wengine sehemu mbalimbali duniani yasitupate na sisi.Hata hapa forum-nikimsikia mtu anatoa experience yake ya ajali during driving huwa naichukulia serious mno,very serious kwelikwel na kuchukua hatua binafsi ili na mimi changamoto hyo niiepuke.Ni bahati kubwa sana kuinteract na anaye survive ajali na sisi kupata elimu kutoka kwake manake anatuokoa na mengi.Ningekuwa wa kulala usiku, ningekuwa nishakulaga muzinga kitambo.. kuna kipindu nishapiga safari.. from dar es salaan to singida usiku hiyo .. then singida to arusha.. nikatoka arusha to chato nikatoka chato nikaingia mwanza.. ndio nikaenda pumzika.. na hiyi ni non stop mzeee
Kanyimbo kalikua ka 2pac bhana..Kuna kale ka kipande ka kutoka babati unaitafta kondoa...
Long way back nilipitaga asubuhi na kulikua na ukungu dah....
Best moment ever...
Na slow songs zangu
Na vile vikonakona mpaka unajiskia upo duniani😂