Mhh huchoki mwili?๐๐๐.. masaa nane unalala una raha.. kwa siku nzima nalala masaa manne au matano na wakati mwingine matatu.
Mungu tu hutuokoaNakubali mkuu,mimi pia ni bingwa wa kutokulala barabarani na hata nyumbani inajulikana silalagi.
Ila nakwambia siku ya kufa nyani miti huteleza mkuu,tulitoka club sa 9 usiku gari akawa anaendesha mshkaji wangu mimi nikawa naamini nitamchunga asilale aisee nilipitiwa na usingizi sijui umetoka wapi wkt haijawahi kunitokea kitu kama hicho.
Mshkaji kumbe nae amelala, ila Mungu ni mwema ile nashtuka nafumbua Macho aisee ndio tuko tunalivaa karavati tuko speed kama 120km/h,ma airbag yakatoka na gari ikaishia hapo.
Apart from maumivu ya ajali ila nilijifunza kitu,kumbe mtu anaweza akafa sababu ya ule mshtuko wa ajali akiwa usingizini.Naamini kile kitendo cha Mimi kushtuka na kumshtua mwana wkt tukikaribia kupata ajali kilitusaidia kujiandaa kisaikolojia na kuuandaa mwili kwa ile shock ya ajali.
All in all ni Mungu tu bro hua anaokoa jahazi.
Hapana huwa nina relax sana, kuupa mwili pumziko japo kwa masaa machache.. na huwa nakaa mbalia na vitu ambavyo najua vinanichosha akili au mwili..Mhh huchoki mwili?
Kwa wale wapenda speed kubwa above 180km/hr mmeambiwa your only MECCA ni Germany autobahn.Volvo limiting top speed
Volvo announced on Monday that it will be limiting the top speed on all of its vehicles to 180 km/h (112 mph) in a bid to reduce traffic fatalities. The new speed limit will be implemented on all model year 2021 cars, the company said
Wapuuzi hao. Wengine nimeona wanashusha top speed.Hizi mambo za kufukia matuta usiku au mchana muda si mrefu zinaisha.Naona European car manufacturers wameshaanza kuinvest kwenye research ya jinsi ya kuya programme magari kwendana na speed ya eneo husika.
Ndio hawa nilikuwa nawasema! Tutaenda kutoa hizo limiter mtaaniVolvo limiting top speed
Volvo announced on Monday that it will be limiting the top speed on all of its vehicles to 180 km/h (112 mph) in a bid to reduce traffic fatalities. The new speed limit will be implemented on all model year 2021 cars, the company said
Daah gari za magazeti ni habari nyingine mkuu. Weekend iliyopita nimetoka dar saa 5 usiku tumefika mbeya mjini saa 2.30 asubuhi. Na hapo jamaa analalamika kachelewa kwa sababu kuanzia iyovi mpaka tunafika mbeya ni mvua na ukungu kwa baadhi ya maeneo.Ajali sometimes huwa inatokeaga in a single day,na hiyo single day wengi wetu ndo hatuijui.Hizi sheria za barabarani zinakuwa updated kila kukicha ili kutukinga na madhila yanayowapata wengine sehemu mbalimbali duniani yasitupate na sisi.Hata hapa forum-nikimsikia mtu anatoa experience yake ya ajali during driving huwa naichukulia serious mno,very serious kwelikwel na kuchukua hatua binafsi ili na mimi changamoto hyo niiepuke.Ni bahati kubwa sana kuinteract na anaye survive ajali na sisi kupata elimu kutoka kwake manake anatuokoa na mengi.
* Kikubwa tuepuke udereva wa mazoea.Ex-Magari ya Magazeti huwa tunayasifia kwa haraka na umakini wa dereva lakini huwa wakipata deadly accident kutokana na mwendo tunashikaga vichwa.Dereva ili uwe salama lazima ukubali kujifunza kila siku.
Volvo zilikua zinasifika kwa kua world's safest carsVolvo limiting top speed
Volvo announced on Monday that it will be limiting the top speed on all of its vehicles to 180 km/h (112 mph) in a bid to reduce traffic fatalities. The new speed limit will be implemented on all model year 2021 cars, the company said
Unaweza sana,je toka Arusha to Chato ulipita Musoma au ulirudi njia ya Singida?Ningekuwa wa kulala usiku, ningekuwa nishakulaga muzinga kitambo.. kuna kipindu nishapiga safari.. from dar es salaan to singida usiku hiyo .. then singida to arusha.. nikatoka arusha to chato nikatoka chato nikaingia mwanza.. ndio nikaenda pumzika.. na hiyi ni non stop mzeee
Nili rudi njia ya singida, igunga, nzega kahama.. .. ndukiiiUnaweza sana,je toka Arusha to Chato ulipita Musoma au ulirudi njia ya Singida?
Daah gari za magazeti ni habari nyingine mkuu. Weekend iliyopita nimetoka dar saa 5 usiku tumefika mbeya mjini saa 2.30 asubuhi. Na hapo jamaa analalamika kachelewa kwa sababu kuanzia iyovi mpaka tunafika mbeya ni mvua na ukungu kwa baadhi ya maeneo.
๐ ๐ Kwa ule mwendo lazima ata blow head gasket miaka si mingi.Head gasket za EJ20 hazitaki stress.Kama mwendo wako ndio wa kwenye ile video unaweza.
Kama mwendo wako ndio wa kwenye ile video unaweza.
[emoji16] [emoji16] Kwa ule mwendo lazima ata blow head gasket miaka si mingi.Head gasket za EJ20 hazitaki stress.
Ulifanya sahihi sana.Subaru engine ikizingua nunua nyingine otherwise lazima mafundi wakukariri.Subaru Forester (SUV) at least model ya kwanzia 2012- kuja mbele zinazotumia Engine mpya ya FB20 at least nasikia changamoto inapungua.unachoongea ni sahihi kwa 100%, maana engine ilishazingua kiasi kwamba imeveshwa nyingine. ila kwenye Lexus rx300 yenye 1MZ-FE bado ipo vizuri na ina miaka 12 sasa maana chuma ni namba A