Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,743
Kwani RR au BMW 7 series hazina hizo speedMi sipendi gari ambazo zipo too official kama hizo RR, bmw 7 series, merc bez s series.
Mi napenda gari za vijana speed and funnier to drive.
Key word: funier to drive.Kwani RR au BMW 7 series hazina hizo speed
Yap yapo mengi tu inategemea na mpiga picha na mda pia.Hilo eneo ni zuri sana....Hivi kuna kipande cha barabara Dar kinapendeza kama hapo?
Siyo kuuwa ndoto naangalia income yangu kwa mwaka na bei ya RR mpya na ushuru wake plus maintenance costs.Hata kama ntalimiliki on finance kwa maana mikakati mingine isifanyike mshahara wote ukija 95% unaenda kwenye makato ya gari,nina rafiki mmoja anayejiweza analo moja on finance alinishauri kama kipato chako ni cha mtu wa kawaida nisijiroge kuchukua on finance na ndipo ndoto zikafa.Mpaka kibubu kiwe full kulinunua cash uzeeni haina maana.mkuu mbona unaua ndoto Makati umri bado unasoma?
Mi sipendi gari ambazo zipo too official kama hizo RR, bmw 7 series, merc bez s series.
Mi napenda gari za vijana speed and funnier to drive.
Ivi hii chuma na ile ya mtoto wa Tandale ( cadillac escalade black edition ) ipi moto 🙂🙂🙂Najaribu kuwaza Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum anaendeshwa kwenye gari la aina gani, wakati dude kama hili amewapa polisi.View attachment 1828484
Escalade yenye V8 6.2L ni yamoto kuliko hii Land Cruiser japo wamepishana horsepower kidogo sana! Escalade inamwaga 420HP wakati huu umeme wa Mjapani unamwaga 410HP so difference haitakuwa kubwa sana isipokuwa tu kwenye speed escalade ana 280 kwenye kisosi!😅😅😅 huku LandCruiser ana 260!Ivi hii chuma na ile ya mtoto wa Tandale ( cadillac escalade black edition ) ipi moto 🙂🙂🙂
Extrovert
Duh..umewaza mbali sana....Najaribu kuwaza Sheikh Mohammed bin Rashid Al Maktoum anaendeshwa kwenye gari la aina gani, wakati dude kama hili amewapa polisi.View attachment 1828484
Ila Escalade imekaa kitemi mno kuliko CruiserEscalade yenye V8 6.2L ni yamoto kuliko hii Land Cruiser japo wamepishana horsepower kidogo sana! Escalade inamwaga 420HP wakati huu umeme wa Mjapani unamwaga 410HP so difference haitakuwa kubwa sana isipokuwa tu kwenye speed escalade ana 280 kwenye kisosi!😅😅😅 huku LandCruiser ana 260!
Ila Escalade ya V6 3.0L ni ya kitoto sana ina 277HP wakat landcruiser ya v6 3.0L inamwaga moto wa 310HP so Land cruiser ataiburuza escalade ya 6.2L
Escalade iko more handsome😅😅😅 sababu ni long wheelbase kuliko Land Cruiser!Ila Escalade imekaa kitemi mno kuliko Cruiser
I think cadillac is a more of a status car, more luxury. LC ni luxury na wakati huohuo ni kazi kazi yani popote inaenda na kukurudisha. Nguvu almost the same. Ila cadillac ni gas guzzler.Ivi hii chuma na ile ya mtoto wa Tandale ( cadillac escalade black edition ) ipi moto [emoji846][emoji846][emoji846]
Extrovert
Ubaya wa gari za marekani.Escalade yenye V8 6.2L ni yamoto kuliko hii Land Cruiser japo wamepishana horsepower kidogo sana! Escalade inamwaga 420HP wakati huu umeme wa Mjapani unamwaga 410HP so difference haitakuwa kubwa sana isipokuwa tu kwenye speed escalade ana 280 kwenye kisosi![emoji28][emoji28][emoji28] huku LandCruiser ana 260!
Ila Escalade ya V6 3.0L ni ya kitoto sana ina 277HP wakat landcruiser ya v6 3.0L inamwaga moto wa 310HP so Land cruiser ataiburuza escalade ya 6.2L
Hahahah mjeruman ataki tabu yeye ni kufunga ma turbochargers tu😅😅😅!!! Hilo li engine la 6.2L unakuta lenyewe ni naturally aspirated.Ubaya wa gari za marekani.
Engine kubwa, output ndogo.
Yani 6.2l v8 inakupa 420 hp wakati Merc Benz A 45s AMG ana 2l inatoa 421 hp.
Wamarekani wanawezana wenyewe.
Ofcoz Cadillac nigari ya show off kwa marekani 😅😅😅 ila sio ya aghali kama Italian au European makes!I think cadillac is a more of a status car, more luxury. LC ni luxury na wakati huohuo ni kazi kazi yani popote inaenda na kukurudisha. Nguvu almost the same. Ila cadillac ni gas guzzler.
Yeah dodge challenger ni mnyamar sana nahisi ndio yupo kitemi kuliko Tahoe na Escalade
Wamarekani wanakwambia only milk comes with 2L.Hahahah mjeruman ataki tabu yeye ni kufunga ma turbochargers tu[emoji28][emoji28][emoji28]!!! Hilo li engine la 6.2L unakuta lenyewe ni naturally aspirated.
Toyota nae ameamua kuwa nzi mwenye akili kama nyuki anafyatua zenye turbo tu sahizi ameacha uoga!
Hahahahah kumbe ndio maana wanainjoy ma gas guzzlersWamarekani wanakwambia only milk comes with 2L.
Mafuta cheap sana kwao kulinganisha na Europeans. Halafu wana hela.
Ndo maana kwao kukuta gari la 7.3L ni kitu cha kawaida sana.
Wana hiyo Ford Mustang shelby gt500 5.2l v8 supercharged inakupa 720hp. Gari ina sura ya kikatili sana.
Hawa jamaa hawajali sana kwenye appearance ya gari.