Mkuu weekend ndefu.. bora kwenda huko na bebi mnatulia pale safii.. kidogo na uchungu wa maisha unapungua 😀😀Tushakushindwa [emoji23]
Napenda sana kawaha, kuna kipindi nilikuwa naifata Arusha 😀😀😀.. nahisi kitu cha kwanza kukipenda hapa duniani ni kahawa then yanafatia mengineHa ha ha wewe umeshindikana! Kahawa unaifuata Moro!
AaargHalafu kuna watu ukiwaambia kuna starehe nyingine zaidi ya pombe hawakuelewi!
Lipo njiani boss.Naimani itapata tu siku moja. Mm pia sina ila soon ntapata inshalaah.
Kusafiri mchana ni stress sana. Mno.Ila mnaosafiri usiku nawaelewa maanake foleni nimeanzia Ubena zomozi hadi Moro nyuma ya malori! Ukiovateki kijinga unakula cheti! Nimetumia masaa mawili Chalinze-Morogoro
Wanasema ziko tatu. Ila hii walisahau kuiweka kwenye listHalafu kuna watu ukiwaambia kuna starehe nyingine zaidi ya pombe hawakuelewi!
[emoji38]Aaarg
Mkuu acha basi, pombe kitu kingine bwana
Unaifananishaje sasa [emoji16][emoji16]
Yani kuna sehemu unaona kabisa hapa naweza kupita, tena very safely, nikaendelea na safari. Ila ukiwaza itakucost shs ngapi unatulia kinyonge.Ila mnaosafiri usiku nawaelewa maanake foleni nimeanzia Ubena zomozi hadi Moro nyuma ya malori! Ukiovateki kijinga unakula cheti! Nimetumia masaa mawili Chalinze-Morogoro
Naomba niwe dereva wakoLipo njiani boss.
Si ndio hapo sasa [emoji28][emoji38]
Kwamba wanafananisha pombe na vitu vya ajabu.
Sawa boss.Naomba niwe dereva wako
Haki nimecheka Sana.Si ndio hapo sasa [emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaahJijini kamvua kakinyesha lami inaonekana km imepakwa vaseline[emoji847][emoji23][emoji23]View attachment 1827326