Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

Ihonge heheheh... nimepata dawa yako by the way. Inaitwa baileys iko kwenye fridge inapoa tu. Jiandae kulewa soon.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani hadi kuja kuchukua hiyo miwani nitakuwa sina hata Senti,shauri yako[emoji1787],hela zenyewe za manati hizi[emoji16].


Hiyo Baileys ni tamu kama soda?
Nahofia usije tupa hela yako bure kama ulivyotupa ile siku[emoji16].

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wenzetu wanatumia Biofuel inayotoka kwenye molasses za Viwanda vya sukari, uchafu wa Viwanda vya vyakula.

Sisi Chemistry yetu tunatumia kumix Energy/Soda na Kvant.
Hao wenzetu tuwaache tu mkuu tusijilinganishe nao kabisa

Kwanza unaambiwa umeme unaotumika US kwa siku moja ni sawa na umeme unaotumika TZ kwa miaka saba imagine

Hao tuwaache tu tusihangaike hata kukimbizana nao maana walishatuacha mbali zamani sana
 
Wenzetu wako mbali Mkui bajeti ya wizara ya ulinzi ni zaidi ya trillion 500 za kitanzania,! Kwa sasa Ina bidi kufunga gesi hakuna namna sasa ukipinga mzinga na ma gesi hayo sijui itakuwaje?!
 
Kweli saizi umeme wetu umeanza kukatika ovyo,gesi wameongeza Bei wanakaba man to man.
 
Wenzetu wako mbali Mkui bajeti ya wizara ya ulinzi ni zaidi ya trillion 500 za kitanzania,! Kwa sasa Ina bidi kufunga gesi hakuna namna sasa ukipinga mzinga na ma gesi hayo sijui itakuwaje?!
Acha tu mkuu halafu eti watu kama hao ndiyo tunataka kutunishiana nao misuli

Sisi tuendelee tu kumtafuta mchawi na kulialia kuwa walitutawala ndiyo maana wako mbele sisi tuko nyuma

Inawezekana na humo kwenye gesi namo wakiona watu wengi wamekimbiliamo watapandisha kodi
 
Kweli saizi umeme wetu umeanza kukatika ovyo,gesi wameongeza Bei wanakaba man to man.
Acha tu mkuu

Nimekumbuka niliwahi sikia kuwa nchini Japan kuna siku umeme ulikatika kwa lisaa limoja

Waziri wa wizara husika akainama mbele ya viongozi wenzie na baadhi ya wananchi kwenye mkutano kama ishara ya kuomba msamaha kwa umeme kukatika

Aliinama kwa muda ambao umeme ulikatika yaani lisaa limoja

Wabongo wakasema waziri wetu wa nishati naye angesema ainame kwa muda wote ambao umeme umewahi kukatika Tanzania tangu aingie madarakani si angeinama hadi anakufa
 
No hurry in Africa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…