Wazee wa โ€˜Road Tripโ€™ mpo?

Kumbe na wewe mtu wa viwanja sana
Haha siyo sana mkuu. Mara moja moja tu sema huwa sipendi kurudiarudia viwanja, nikishaenda kwenye kiwanja kimoja mara moja au mbili basi siku nyingine nitataka nibadilishe, ni viwanja vichache sana ambavyo huwa naenda zaidi ya mara hizo.
 
Hao huwa nawaambia waachane na gari za Singapore hawasikii! Zile gari wanatoa vitu wanabadili vibovu ndio wanauza.
Wauza Magari ya Singapore ni waswahili wenye rangi nyeupe. Mtego wao ni kuweka leather seat, Kuna mtu alichukua Toyota Hiace Quantum yenye injini ya 1TR Kutoka Singapore ilikuwa inachemsha imekuja na tatizo katika cylinder head.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ