korokwincho
JF-Expert Member
- Aug 29, 2014
- 1,054
- 1,269
Anaomba njia mamaeeee ila kukaa mbele yetu dk 1 nyingi kapoteaaa mamaeeeKuna siku nilikaa mbele ya ile New Force ya Tunduma, DPK toka Mlandizi.
Zile gari zinakimbia asikwambie mtu. Nilikuwa 120kph ila jamaa bado yupo nyuma yangu honi nyingi na flash lights za kutosha
Madereva wa hizi gari ni balaa. Imagine morogoro road ilivyo busy ila mtu anakamua kupita maelezo.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
new force mbona anakimbizana na Saul au ni vile Anaitwa Golden Deer?
Ha ha ha ha kwahio mkuu unataka kutuambia nini?Nimeiona Toyota Wish DVC imechoka kuliko maelezo.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Hivyo vipande unaweza poteza hata masaa manne wakati ni sehemu za kutembea saa 1.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji119][emoji119][emoji119][emoji119][emoji1787][emoji1787][emoji1787].....Nadhani ungemuambia kuwa mkifika Korogwe mnakula wote lunch, lazima angekukumbuka...
Yaani safari Arusha Dar hiki kipande cha Arusha mpaka Himo sikipendi kabisa..
Kipandw kingine nisichokipenda ni Bagamoyo mpaka Uinge Dar au Chalinze mapaka Ufike Dar....
Hivi vipande nikivikumbuka vinaniondolea mzuka wa safari kabisa
Ila hayo magari mkiwa highway sehemu ambazo hazina magari mengi kama Same, unawapita kama wamesimama. Fujo zao mjini tu.Bhana bhana bhana achana na hzi newforce hyo njia ya moro, mwaka 2015 tuko na suzuki grand vitara v6 manual, dash board kwetu inasoma 160kph muhuni huko nyuma anapiga honi sio mchezoAnaomba njia mamaeeee ila kukaa mbele yetu dk 1 nyingi kapoteaaa mamaeee
Kuna siku nilitoka maeneo ya mwenge saa 10 jioni, Bagamoyo nilifika saa mbili usiku!Hivyo vipande unaweza poteza hata masaa manne wakati ni sehemu za kutembea saa 1.
Kuna siku niliamsha saa 9 mchana. Nafika bagamoyo ile petrol station ya Total saa 12 jioni.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Hawana mwendo wana fujo tuIla hayo magari mkiwa highway sehemu ambazo hazina magari mengi kama Same, unawapita kama wamesimama. Fujo zao mjini tu.
Sent from my SM-A720F using JamiiForums mobile app
Waambie niwaoe kma hawana wanaume aisee napenda wanawake wa hv
Tunakaa mbele pale Tunamuwasha dereva akiitika mtatuokota sekenke
Utawezana?Waambie niwaoe kma hawana wanaume aisee napenda wanawake wa hv
Bike gani kiongozi..
Mrejesho...Nimepanga Arusha-Dar next WK.
Namaliziamalizia kurekekebisha kimeo changu.
Nimebadilisha steering rack,shock up mbele na nyuma,fuel filter,bush, hydraulic oil,wheel alignment na ishu ndogondogo nyingine..
Natumai hakitaniangusha..