Najiandaa kuliamsha dude kurudi km 930 zingine, God help...Niwatakie heri ya mwaka mpya road trippers wote...2021 iwe ya mafanikio makubwa kwenu! Happy New year
Nipo mkuuMkuu upo?
Majukumu tuNaona tunapishana sikuoni
Andaa za kubrashia viatuNajiandaa kuliamsha dude kurudi km 930 zingine, God help...
Usife moyo utapata tu mkuuJapokua sina gari uzi nimeupenda sana na nimesoma comments zoteeee, namimi 2021 lazima ninunue ndio naendelea kuzichanga. now nipo kwa bus natokea Singida kwenda Dar es Salaam
😅😅😅Huwa trafiki hawajawahi kunisumbua huwa nina uniform zangu na vitambulisho... Sana sana wananiambia tu mzee nenda lakini punguza spidi 😄😄Andaa za kubrashia viatu
Nikipita hapa I will do same thing and share it
SalutiDuh nyie ndio mnaweka kofia pale mbele?
Oohh safiNiko jijini ila nitauona mwaka indoors.
Kama kawa yaani majuzi jamaa alinisimamisha sasa nilikuwa naongea na simu, ila kioo nikashusha, basi alichungulia tu mle ndani akarudi kuendelea na shughuli zake... Mi nikang'oa😅😅😅😅Duh nyie ndio mnaweka kofia pale mbele?
Nakukuta wapi twende tangaNimemiss road trips aiseee.
Kama kuna mtu ana safari anishtue nimsindikize
Makumbusho mkuu.Nakukuta wapi twende tanga
Nangoja mwaka ugeuke, tarehe 4 naelekea huko get ready to remind meMakumbusho mkuu.
Usisahau speaker na pombe.
SawaNangoja mwaka ugeuke, tarehe 4 naelekea huko get ready to remind me
Makumbusho mkuu.
Usisahau speaker na pombe.