Hapo penyewe sasa sema hizo juice mi sinywi
That's not for you, we ukitaka Hennessy Mwitu utapata pia😂😂Hapo penyewe sasa sema hizo juice mi sinywi
Hennessy Mwitu ndo Valeur au?That's not for you, we ukitaka Hennessy Mwitu utapata pia[emoji23][emoji23]
Achana na local content hizoHennessy Mwitu ndo Valeur au?
Henny sinywi. Fanya Glenfidich, Glenmorangie au Remmy MartinAchana na local content hizo
Huku huku kwa Kunenge kaka ake.Duh ulipotelea wapi dada ake?!
Pamoja remind me on 3rdHenny sinywi. Fanya Glenfidich, Glenmorangie au Remmy Martin
Sawa mkuuPamoja remind me on 3rd
NashukuruKaribu tena
Dooh nikajua mie peke yangu ndiyo naziona hizo ni kama Juice kumbe tuko wengiHapo penyewe sasa sema hizo juice mi sinywi
Pombe gani unajaza tumbo tu hulewi. Kuna rafiki yangu nimemtoa kwenye Serengeti lite kahamia Safari.Dooh nikajua mie peke yangu ndiyo naziona hizo ni kama Juice kumbe tuko wengi
Aah mikoa ikigawanywa kama ulifika kabla unaongeza kwenye hesabuDooh hadi sasa nimetembelea mikoa kama kumi na kitu hivi ila hata nusu sijafika! Na nchi yetu hii mikoa inazidi kugawanywa kadiri miaka inavyozidi kwenda!
Kitu X-trail
Ewaaaa mi Safari na Balimi ndiyo bia zangu pendwa yaani hapo hauniambii kitu! Japo kuna Watu huwa wananishangaa wananiambiaga natumia vitu vizito eti hizo siyo bia ni gongo!Pombe gani unajaza tumbo tu hulewi. Kuna rafiki yangu nimemtoa kwenye Serengeti lite kahamia Safari.
Oohh hapo sawa MkuuAah mikoa ikigawanywa kama ulifika kabla unaongeza kwenye hesabu
Duh trip zako za kibabeAsanteni Sana katavi nimekuka kuku Sana.
Baada ya mapumzziko hapa sumbawanga nikisubiri tiny yangu isawazishe gori Sasa naitafuta Mbeya.
Wwnye kujua viwanja vizuri Mbeya nijuzeni nalala Mbeya asubuhi naanza safariView attachment 1663996
Dooh nikajua mie peke yangu ndiyo naziona hizo ni kama Juice kumbe tuko wengi
Pombe gani unajaza tumbo tu hulewi. Kuna rafiki yangu nimemtoa kwenye Serengeti lite kahamia Safari.
Aisee!Ewaaaa mi Safari na Balimi ndiyo bia zangu pendwa yaani hapo hauniambii kitu! Japo kuna Watu huwa wananishangaa wananiambiaga natumia vitu vizito eti hizo siyo bia ni gongo!
Mi nitakunywa bia zote ila siyo hizo Lite aiseee. Yaani haujanifuma bado kwa kweli.