miss pablo
JF-Expert Member
- Jul 9, 2018
- 5,411
- 11,025
Wewe kipenyo mkuu??[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Huwa trafiki hawajawahi kunisumbua huwa nina uniform zangu na vitambulisho... Sana sana wananiambia tu mzee nenda lakini punguza spidi [emoji1][emoji1]
City PubAsanteni Sana katavi nimekuka kuku Sana.
Baada ya mapumzziko hapa sumbawanga nikisubiri tiny yangu isawazishe gori Sasa naitafuta Mbeya.
Wwnye kujua viwanja vizuri Mbeya nijuzeni nalala Mbeya asubuhi naanza safariView attachment 1663996
[emoji16][emoji16] [emoji41][emoji41]Aisee!
Mbeya pazuriCity Pub
Mbeya Carnival
P Son
Pamodz
Samaki Samaki
Mwailubi
Hahaa lile la CWTNa lile ghorofa la kwanza kuwa na lift...
Tufurahi tu tuongeze maisha..[emoji38][emoji38]Oohh basi nilicheka aisee
Hope VilleMbeya pazuri
Kifuatacho soon tutaingia namba E....Basi hawa wa Namba E watakuwa wanaona Dunia nzima ni yao....utakutana na Porte namba E jamaa kavaa miwani nyeusi, kakata kishoka, ndevu kaziachia kama brush....yaani atatuona tuliobaki wote ni washamba tu..[emoji848][emoji848]...akisimamishwa na askari, ataongea kwa kiburi cha namba E, basi askari hapo anachora vyeti tu.Sishangai Maana mtu kasajiiri 812 Leo na Mwisho Ni 999, Maaninah zinakimbia kama upepo
Sio Mbaya tunafungia Mwaka 2020 na DVE, sijua tutafungia 2021 na ipi ?View attachment 1663246
Na kwako pia mkuu,...Niwatakie heri ya mwaka mpya road trippers wote...2021 iwe ya mafanikio makubwa kwenu! Happy New year
Mimi nilienda Dar - Kilimanjaro - Dar (23 Dec kwa 27 Dec.) Nilisimamishwa na trafiki mara moja tu maeneo ya Same. Na nilisafiri mchana.Kuendesha gari mkoa to mkoa wakati wa sikukuu hampati tabu za trafiki?
Hamna 😅😅Wewe kipenyo mkuu??[emoji28][emoji28]
Dah we jamaa bhana Nimechemka duhKifuatacho soon tutaingia namba E....Basi hawa wa Namba E watakuwa wanaona Dunia nzima ni yao....utakutana na Porte namba E jamaa kavaa miwani nyeusi, kakata kishoka, ndevu kaziachia kama brush....yaani atatuona tuliobaki wote ni washamba tu..[emoji848][emoji848]...akisimamishwa na askari, ataongea kwa kiburi cha namba E, basi askari hapo anachora vyeti tu.
Hawa wenye D wataanza kujiona kama sisi wenye C tunavyojiona leo hii..
Wenye C tutajiona kama wanavyojiona wenye B leo hii..
Wenye B watajiona kama wanavyojiona wenye namba A leo hii...
Wenye namba A watajiona wamerudishwa enzi za namba TZ 009844[emoji21]
Wale ambao waliwahi kuwa na namba TZ.......watajihisi wanaishi on the other side of the hell....[emoji26][emoji26]
Ndiyo Tanzania hii imetawaliwa na Plate namba na Low mileage..
Ndo zenu huwaga[emoji28][emoji28] mimi sina cha kuonyesha mwenzangu nikishikwa mimi. Natio sheria bila shurutiHamna [emoji28][emoji28]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kifuatacho soon tutaingia namba E....Basi hawa wa Namba E watakuwa wanaona Dunia nzima ni yao....utakutana na Porte namba E jamaa kavaa miwani nyeusi, kakata kishoka, ndevu kaziachia kama brush....yaani atatuona tuliobaki wote ni washamba tu..[emoji848][emoji848]...akisimamishwa na askari, ataongea kwa kiburi cha namba E, basi askari hapo anachora vyeti tu.
Hawa wenye D wataanza kujiona kama sisi wenye C tunavyojiona leo hii..
Wenye C tutajiona kama wanavyojiona wenye B leo hii..
Wenye B watajiona kama wanavyojiona wenye namba A leo hii...
Wenye namba A watajiona wamerudishwa enzi za namba TZ 009844[emoji21]
Wale ambao waliwahi kuwa na namba TZ.......watajihisi wanaishi on the other side of the hell....[emoji26][emoji26]
Ndiyo Tanzania hii imetawaliwa na Plate namba na Low mileage..
Vinaita balaa...lajini usishngae mtu akatoa Passo yake bandarini ya pistoni tatu ikasajiliwa namba E....akaaza kuvimbishiana na Hiyo AAA hapo..[emoji1787][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Lakini Kuna vyuma namba A vinaita achaa ving'wasuuu, Cheki hio CRUISER hapoView attachment 1664221
[emoji23][emoji23][emoji23]Vinaita balaa...lajini usishngae mtu akatoa Passo yake bandarini ya pistoni tatu ikasajiliwa namba E....akaaza kuvimbishiana na Hiyo AAA hapo..[emoji1787]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Isijekuta limekaa sana bandarini akatokea mtu akajikomboa nalo..[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna verosa nineiona jana hapo Kibo ni IT kidogo nilie. Kwani huwa magari mabovu yanauzwagwa jaman? Au lilikaa juani sana hapo bandarini? Lkn pia hapana. Ilikua zaidi ya kupauka. Hapo mbele limeishaa[emoji119][emoji119] imagine ndo namba E
Wengine hununua haya kwa bei nafuu hlf wanakuja kuyafanyia repair.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna verosa nineiona jana hapo Kibo ni IT kidogo nilie. Kwani huwa magari mabovu yanauzwagwa jaman? Au lilikaa juani sana hapo bandarini? Lkn pia hapana. Ilikua zaidi ya kupauka. Hapo mbele limeishaa[emoji119][emoji119] imagine ndo namba E