Mufindi/ Mafingawakali wa location nawaachia assignment kuhusu jina ya hili location.
NB: hii ilikuwa ni last week nikiwa ktk roadtrip ya kutoka mkoa A kwenda mkoa D ndani ya nchi nzuri ya tanzania.View attachment 2204148
Barabara ya Iringa-Njombewakali wa location nawaachia assignment kuhusu jina ya hili location.
NB: hii ilikuwa ni last week nikiwa ktk roadtrip ya kutoka mkoa A kwenda mkoa D ndani ya nchi nzuri ya tanzania.View attachment 2204148
wakali wa location nawaachia assignment kuhusu jina la hili eneo.
NB: hii ilikuwa ni last week nikiwa ktk roadtrip ya kutoka mkoa A kwenda mkoa D ndani ya nchi nzuri ya tanzania.View attachment 2204148
Ulikuwa wapi?Utakuwa uliniona mm
IST akiamua kufanya mashindano anatembea 🤣 sema mie humo ndani sitakaaWakuu kwema,
Nmenyanyua ist juzi bandarin sasa nataka nikapulize hadi mwanza wiki ijayo nipeni maujuz kama katafika kutoka dar pia niende moja kwa moja au niweke vituo mfano nikitoka dar nilale dom then kesho niunge had mwanza….
Karibun kwa mawazo ni vitu gani vya kuzingatia kabla,wakati na baada ya safari.
NB:Sitafanya mashindano yoyote road naenda kistarehe kabisa sina haraka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wale wa V8 300 series,vanguard,bmw,toureg VW, njia nyeupeee nendeni tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hongera kwa kumiliki VXIST akiamua kufanya mashindano anatembea [emoji1787] sema mie humo ndani sitakaa
Kuna IST tulitembea nayo sambamba SGD to ARU.. tunaingia town tunaikuta IST ile [emoji28][emoji28][emoji28]
IST alivimbia VX, yule sijui alikuwa anatembea speed ngapi…
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ilikuaje kwan? Make hapo nicheke kwani.IST akiamua kufanya mashindano anatembea [emoji1787] sema mie humo ndani sitakaa
Kuna IST tulitembea nayo sambamba SGD to ARU.. tunaingia town tunaikuta IST ile [emoji28][emoji28][emoji28]
IST alivimbia VX, yule sijui alikuwa anatembea speed ngapi…
Hiyo VX nishaigawa… sahivi namiliki GXR
Hongera snHiyo VX nishaigawa… sahivi namiliki GXR
Hahahhaaaa uwiiii
IST akiamua kufanya mashindano anatembea [emoji1787] sema mie humo ndani sitakaa
Kuna IST tulitembea nayo sambamba SGD to ARU.. tunaingia town tunaikuta IST ile [emoji28][emoji28][emoji28]
IST alivimbia VX, yule sijui alikuwa anatembea speed ngapi…
Kama kana ni 1.5L kuna makubwa jinga mengi tu utayaacha ikiwemo 1hz cruiser.Wakuu kwema,
Nmenyanyua ist juzi bandarin sasa nataka nikapulize hadi mwanza wiki ijayo nipeni maujuz kama katafika kutoka dar pia niende moja kwa moja au niweke vituo mfano nikitoka dar nilale dom then kesho niunge had mwanza….
Karibun kwa mawazo ni vitu gani vya kuzingatia kabla,wakati na baada ya safari.
NB:Sitafanya mashindano yoyote road naenda kistarehe kabisa sina haraka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Wale wa V8 300 series,vanguard,bmw,toureg VW, njia nyeupeee nendeni tu[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Hyo 1.5L ni nini mkuu?Kama kana ni 1.5L kuna makubwa jinga mengi tu utayaacha ikiwemo 1hz cruiser.
Engine displacement(ukubwa wa injini) ya ist 1490cc or 1.5L kimakadirio 1490 ni sawa na 1.5 kwa sababu namba inayofuata baada ya 4 imezidi 5 ambayo ni nusu na hivyo kufanya iwe 1.5 badala ya 1.4.Hyo 1.5L ni nini mkuu?
Hutu tutabia twa kutumiana Maramani sijui MaGiFs mwisho iwe mb3 tu.mtembezi, mzururaji, royal tourist, roadtripper, juzi kati nilikuwa mkoa X ila leo nipo hapa jiji la Tabora.
wenye tabora yenu bila shaka mmeshajua nipo wapi mda huu.
View attachment 2209190
Hata Sudani inafika.Mkuu mimi mashindano hata sitaki kwa kwel we nipe tu ABCs za hyo road trip kutoka Dar had Mwanza na hiyo Ist[emoji2][emoji2][emoji2]
unalalamika wewe peke yako, ndio ukome kuweka kibando cha buku moja. ila pole sana maana sina namna ya kukusaidia. dumbhead.Hutu tutabia twa kutumiana Maramani sijui MaGiFs mwisho iwe mb3 tu.
Tumekimbia IG huko tumekuja huku unakutana na GiFs iko na 33.54MBs zingine mpaka 50Mbs alafu JF systems zinaipiga Automatic Download sijui ndiyo Automatic Preview basi kuna watu mnatusumbua.
Afadhali hata GiFs zenyewe zingekuwa na maana unakuta Gif yenyewe inakwamakwama full glitch. Prrr 4cken.
Leo nimeamua niseme tu.