Nilimtamani sana, huwezi jaribu hata ligi.. bora ikae mbele uione inavyitembea 😄😄😄 ukileta ligi utapasukaHahahahahah hata ingekuwa wewe mzee gari haina vibao vya 5O unatembeaje kinyonge na odo ndio kwanza inasoma OOO7513KM
Bajeti ishapitishwa so tutegemee zianze kumwagika kwa wakurugenzi taratibu zile LC2OO zitaanza kwenda nje ya ligi😄😄😄 unyama mwingine ni GR sport imekaa ki afande sana ki escort.. kuna moja ya makumbusho black hivi.. sijui wanataka wabadirishe watumie hizo.. hizi gari ukiziona zipishe.. labda na wewe uwe na kifua hasa
View attachment 2276557
kama una hela sogea kwenye mawiza unaweza pata hata kwa 4 millions 😄😄Bajeti ishapitishwa so tutegemee zianze kumwagika kwa wakurugenzi taratibu zile LC2OO zitaanza kwenda nje ya ligi
Sema jamaa alikuwa anakamua sana bila shakaNilimtamani sana, huwezi jaribu hata ligi.. bora ikae mbele uione inavyitembea 😄😄😄 ukileta ligi utapasuka
kwanza nzito, ikipita unaona kabisa ilivyo shika road . ipo mafuta unatazama tu.. uchague umalize mafuta yako kwa kimbiza usichokiweza au ubaki unakitazama tuSema jamaa alikuwa anakamua sana bila shaka
Hahahahahah ungekaza mguu jamaa angukustukia tu angeanza makusudi 😂 angeanza zile anapanda kilima akishuka unamuona yuleee😂kwanza nzito, ikipita unaona kabisa ilivyo shika road . ipo mafuta unatazama tu.. uchague umalize mafuta yako kwa kimbiza usichokiweza au ubaki unakitazama tu
Zile gari kama unataka ufukuzane nazo na wewe uwe na SUV na isiwe chini ya 333HP .. hasa hizo zenye 406HP weka mbali na watoto sijui una ki gari chako kina 200HP .. binafsi nimeziona zimekaa kimchomoko ile mbya, mbili nimekutana nazo high way sikufanya chochote ila ukizitazama mwendo wake wa madahaa.. wala huna haja jujiongeze useme una mjaribu 😄😄😄😄😄 ila kama na wewe unachuma ya nguvu una testHahahahahah ungekaza mguu jamaa angukustukia tu angeanza makusudi 😂 angeanza zile anapanda kilima akishuka unamuona yuleee😂
Hahahah ile ya diesel ndio kidogo ina unafuu ila ya Petrol ni mziki mnene! Siku ukikutana nayo ukiwa na nyama ya mzungu unatesti😂Zile gari kama unataka ufukuzane nazo na wewe uwe na SUV na isiwe chini ya 333HP .. hasa hizo zenye 406HP weka mbali na watoto sijui una ki gari chako kina 200HP .. binafsi nimeziona zimekaa kimchomoko ile mbya, mbili nimekutana nazo high way sikufanya chochote ila ukizitazama mwendo wake wa madahaa.. wala huna haja jujiongeze useme una mjaribu 😄😄😄😄😄 ila kama na wewe unachuma ya nguvu una test
Gari ni ya petrol tu .. 😄😄😄Hahahah ile ya diesel ndio kidogo ina unafuu ila ya Petrol ni mziki mnene
Sio kila mnyama wa mzungu ni mzungu 😄😄😄 utachoma tu mafuta bure, pale kidogo unaweza unaleta ushindani kama una kifua cha maana, kama una chini ya 300HP ni hekima kuipisha tuHahahah ile ya diesel ndio kidogo ina unafuu ila ya Petrol ni mziki mnene! Siku ukikutana nayo ukiwa na nyama ya mzungu unatesti😂
Wapo mkuu m nna vitz 1NZ inapiga 220Kuna haja ya kutafta wakata kamba sasa, [emoji23][emoji23][emoji23] haiwezekani kifua kizito kama hicho kikabwe kwenye 180 dah ni noma yani.
Hivi bongo hamna wadau kweli???
Hao wanyama wote ni 3OO plus Hp na torque ni 4OONm plus haina namna utasumbua na kajiko kokote ka less than 3OOhpSio kila mnyama wa mzungu ni mzungu 😄😄😄 utachoma tu mafuta bure, pale kidogo unaweza unaleta ushindani kama una kifua cha maana, kama una chini ya 300HP ni hekima kuipisha tu
Na gr sport torque ni 700Nm.. hp ni 300HP plus kadhaaHao wanyama wote ni 3OO plus Hp na torque ni 4OONm plus haina namna utasumbua na kajiko kokote ka less than 3OOhp
Inabidi tuwatafute tu haina namnaWapo mkuu m nna vitz 1NZ inapiga 220
Hehehehe ukweli mchungu30sec imemaliza 180kph baada ya hapo hamna kipya kama bao la Kwanza kiherehere [emoji15][emoji41][emoji23][emoji23][emoji23]
Zipo GX-R 240kphLc200 GX/ZX nafikiri ndio limit 180kph...ila VX-R linatiririka tu
R itakuwa = Racing 🙂There is something about R...hata VW R version ni moto
Mashine imetulia sana sema wameboa hapo kwenye speedo