Atazikwa kawaida hapa bongo wanasubiria baba yake afikeWalisafirisha au walichoma hapa hapa bongo
Mchina mkuuS ni mswahili au mchina? Inasikitisha sana
Dah! Inasikitisha sanaMchina mkuu
Ndio hiyo ya daladala lilowaka moto
Mkeka wa EA roads View attachment 2345614
Kuna watu Wana pesa wakuu chang'ombe iyoView attachment 2345360
Kumbe unakajua mkuuHako kadada kakuda kweli
Kumbe unakajua mkuu
[emoji16][emoji16] hukuweka ata ya kahawaKuna siku kalinisimamisha, sasa huwa sina kawaida ya kuwahofia hao watu...
Nikakapigisha pigisha stori hapo, kakaishia tu kutaka kukagua leseni, nikasepa zangu...
[emoji16][emoji16] hukuweka ata ya kahawa
Mkuu umetembea gereji zote tz [emoji28][emoji28][emoji28]. Zipo kibao garage.. Wengine wamechoka wameziweka juu ya mawe nyumbani.Hata kwa asilimia 100% zilizopo bongo chache kuzikuta garage ingawa zipo. Na ndio maana hukuti zikiwa zimekatwa katwa tandale hata kwa huo uchache
🤠🤠 Nahisi najua garage zisizo zidi tano tu mkuu..Mkuu umetembea gereji zote tz [emoji28][emoji28][emoji28]. Zipo kibao garage.. Wengine wamechoka wameziweka juu ya mawe nyumbani.
Sent from my FIG-LX1 using JamiiForums mobile app
Bora mmesema. Watu wanaongea tu bila taarifa.Upo sahihi mkuu, Tandale zipo za kutosha kabisa...
Poa uranMambo vipi Wakuu
Usiongee mkuu ili mradi kuongea. Hizi gari zimejaa gereji. Tena ukiikuta imejaa vumbu kuonyesha ipo hapo mda mrefu.. Majumbani pia huko zipo tu baada ya kushindikana[emoji1783][emoji1783] Nahisi najua garage zisizo zidi tano tu mkuu..
Salama mkuu na uwe na siku njemaMambo vipi Wakuu
Naongea kwasababu sijaziona. Sijabahatika kukutana nazo. Nyingi ambazo nakutana nazo ni Japanese car. Hiyo ni experience yangu. Na ndio maana mmesema zipo nyingi sijapinga ni experience zenu, na ambazo nime agree, kwasababu nimepiga hesabu kutokana na garage ambazo nina zitembeleaUsiongee mkuu ili mradi kuongea. Hizi gari zimejaa gereji. Tena ukiikuta imejaa vumbu kuonyesha ipo hapo mda mrefu.. Majumbani pia huko zipo tu baada ya kushindikana
Sent from my FIG-LX1 using JamiiForums mobile app
Asante sana.Salama mkuu na uwe na siku njema