Ukiona Volvo imeandikwa T6 au T8 nyuma kaa mbali. Labda T5 ndio unaweza kujaribu.
Unaongelea manunuzi ya zaidi ya usd 40000,kabla ya hawa watu wetu wenye kutukomoa....... Though niseme in sha Allah, mola akuwezeshe kwenye kufikia lengo lakoBy 2025 nataka nipate ile 2016-2019 Volvo XC90 2.0 twin turbo. Aisee ile gari ni noma! Nilicheki Top gear jamaa walii rate kama top suv so far!
Mazee! Hilo goma noma aisee! Twin turbo, supercharged na ni electric. Ila nina ugonjwa na diesel engines. Hivyo I go for D5 powerpulse R-design. Hii ina torque kubwa kuliko hata hiyo twin engine.By 2025 nataka nipate ile 2016-2019 Volvo XC90 2.0 twin turbo. Aisee ile gari ni noma! Nilicheki Top gear jamaa walii rate kama top suv so far!
By 2025 nataka nipate ile 2016-2019 Volvo XC90 2.0 twin turbo. Aisee ile gari ni noma! Nilicheki Top gear jamaa walii rate kama top suv so far!
Tutafute pesa tu mazeeHii kitu inanipa kichaaView attachment 1673092
Hizo ni noma ila torque ni ndogo kuliko diesel versions.Duh T6= 316HP
T8=390HP
Hahahaa[emoji2][emoji2] hapo utasikia wananchi wakisema Mazda zinadumu sana Toyota haioni ndani.
Angalia interior ya hio gari. Ni balaaMazee! Hilo goma noma aisee! Twin turbo, supercharged na ni electric. Ila nina ugonjwa na diesel engines. Hivyo I go for D5 powerpulse R-design. Hii ina torque kubwa kuliko hata hiyo twin engine.
So much.You are obsessed with hp!
T8 ni hybrid. Nahisi litanisumbua.Ukiona Volvo imeandikwa T6 au T8 nyuma kaa mbali. Labda T5 ndio unaweza kujaribu.
Used soko letu kibongo bongo litakuwa twisted kinyama. Sahivi wauza IST watazidi kiburi nahisi za mkononi zitaanza kuuzwa 10M ka hutaki agiza kwa 15M 😂😂😂Na mimi naona dalili za madalali kupiga pesa kuliko hata TRA,ni mwendo wa kuuziana used za kibongo bongo kwa sana.
hasa wale wanaounga unga, unakuta mtu ana 15M kwenye account anaagiza gari ya 12M topUpo sahihi sana kaka,yani hii tofauti ya gharama ya hadi 3M inaweza kuwapelekea watu magari yao yakauzwa kwa mnada kwa kushtukizwa na mamlaka.
Lazima, sahivi IST itakuwa ukiuziwa kwa bei rafiki ni 10M kwa wale jamaa waliopo chini ya miti mitaa ya 5N MlimaniHatimae na madalali watazipandisha hizi IST za mikononi kwa watu.
Mzigo DVA ataongea nini huyo jamaaHakikisha uko vizuri tu, usiwape pa kuanzia. Juzi walinisimamisha huku Kibada walikuwa kibao,kazunguka gari kaingiza namba kwenye mashine namuangalia tu mwisho kaishia kuomba card ya gari na leseni nikampa akaniruhusu niondoke.
Average ya 100kph lazma ucheze 135kph-140kph ili ufidie matuta na hamsaMimi na wenzangu tunaotembea average speed ya 100kms/hr. Huwezi ukatembea average speed hiyo na ukatumia 4hrs
Hahahahah nimecheka kinoma😂😂😂 itakuwa side mirror ililiwa na hao samakiNdio, kanasaidia samaki asiharibike.
Kuna Jamaa alizidisha idadi ya samaki katika side mirror ya kushoto alikuwa na Toyota Kluger.Kaondoka Pangani jioni katika kukimbia rough road amefika Korogwe aangalie side mirror anakuta hakuna, akapiga simu baada ya kufika kuwa amepoteza side mirror na samaki wake.
Ila ukiwa Lodge unanyonya ngenya kwa ustadi kabisa 😝Zinatoka bwawa la Mungu na maeneo mengine mkuu,wanawaweka kwny side mirrors ili wasije 'kuiva' na joto la ndani kwny gari na kuharibika.
Ila mimi siwezi kula samaki aliyeninginizwa nje ya gari akipigwa vumbi+moshi wa magari all the way,hua naona hygiene hapo inagoma/kiafya naona ni risk sana.
We unasemea brakez, mi niliambiwa mbona taa ya plate number haiwaki 😂Kanyaga breki ...mbona taa ya breki haiwaki!
Haya shuka sogea huku
Mi yangu ina 200k + na ni usajili wa 2013!Sasa hiyo kwa wastani unapiga 126K in 7 years. Sasa yule aliekuambia garibyaki anayo for 7 years na ndio kwanza iko 80K ananishangaza. Nina Hakika hakununua 0KM