National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
😊😊 Mie sijui.. sasa hivi zitaingizwe kwa msafara wa bibiHiyo kama siyo ya mtu binafsi basi itakuwa ya mkuu wa jakata sema labda dereva wake ilivyofika mida ya wanga akaivika private number
Haha sasa kwani mimi ni afisa bossMa afisa maboss [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
😒😒 Naneda Mahenge then Malinyi, ushahisi maumivu yake hapo.. Huwa naugua kabisaAta Mimi huwa nawaza Kwanzia Ruaha pale Hadi road mbovu na mang'ula adi ifakara kibaoni pabovu [emoji16] Hadi Leo mgongo haujapoa
🙂🙂🙂 Mkurugenzi basiHaha sasa kwani mimi ni afisa boss
🙂🙂🙂 Mkurugenzi basiHaha sasa kwani mimi ni afisa boss
Aahh uhakika bro then kila waziri na mbunge atapewa ya kwake[emoji4][emoji4] Mie sijui.. sasa hivi zitaingizwe kwa msafara wa bibi
Sasa sie tuna fail wapi dada yangu ..Aahh uhakika bro then kila waziri na mbunge atapewa ya kwake
Haha Hata Siyo Jamani [emoji3][emoji3]NDIOOO
Apa mgongo kama sio wangu [emoji16][emoji16] nimetoka mbingu Kule sasa imagine[emoji19][emoji19] Naneda Mahenge then Malinyi, ushahisi maumivu yake hapo.. Huwa naugua kabisa
Kidogo ile njia ukitaka ufike mwili una ushirikiano, gari ndani iwe luxury.. insulation ya nguvu.. Uta enjoyUlikuwa unaendesha LX?
Pole sana mkuuApa mgongo kama sio wangu [emoji16][emoji16] nimetoka mbingu Kule sasa imagine
Haha tuendelee kuchangia tozo tu mdogo wangu hamna namnaSasa sie tuna fail wapi dada yangu ..
🙄🙄 acha tusake tundu kwenye system.. nchi sio yao peke yaoHaha tuendelee kuchangia tozo tu mdogo wangu hamna namna
Asante mkuu safari njemaPole sana mkuu
😃😃😃 Ungejichosha broMdaula juzi imenipita mashine kama hii apa ina usajiri sijui WA nchi ngani ila nadhani ni ya kiongozi Fulani ilianziwa na namba E ilinipita kama nimesimama wakati nilikuwa 120[emoji16][emoji16] ata sikutaka kuifata ata bendera bendera nimeshindwa kuisomaView attachment 2368787
Kabisa nawahurumia wenye malori.[emoji16][emoji23]Kidogo ile njia ukitaka ufike mwili una ushirikiano, gari ndani iwe luxury.. insulation ya nguvu.. Uta enjoy
Apana mkuu lx nitambe[emoji23][emoji23]Ulikuwa unaendesha LX?
Gari nzuri mpyaa namba A mambo ya ndani, geshi, polisa-disiai-makililii ndio zao.. Ukiona jiongeze hata wakiwa wana ku disturb kwa road..Halafu ukiwauliza mbona hii gari mpya namba ya zamani wanabaki kucheka tu!