Hiyo ni jiwe Kaka itunze QUOTE]
Hatar sn hii[emoji848]Halina taa alafu fresh tu.
Rudewa kuna mambo 😄😄 hadi buku unapata warembo safi kabisa.. Jumapili usiku nitapita hapo
Kuna chimbo wanaliita mk... Buku[emoji23][emoji23]Rudewa kuna mambo [emoji1][emoji1] hadi buku unapata warembo safi kabisa.. Jumapili usiku nitapita hapo
😄😄😄😄 Acha tuKuna chimbo wanaliita mk... Buku[emoji23][emoji23]
Nilikuwa hapa alhamisiRaod trip to matemaView attachment 2377660
Naona Land mark anazidi kupaboresha pale kwake...Nilikuwa hapa alhamisi
Saaa nikawa najiuliza hizi namba zingine nlzinatokeaga wapi wapi kumbe ni upigaj
Unge mchana tu ukweli ..oya kuna raia kachafua mazingira ..natoa dak 10 za kuchimba dawa ... Kila mtu ashuke ....wangeshuka woteJana nilitoka Arusha kwenda mji mkuu. Safari ilianzia stand kubwa ya chuga. Nilipata wadau WA kupunguza makali yamafuta maana kule ni 3090 petrol.
Safari ilikua nzuri mpaka babati baada ya hapo nilitamani gari ipae iangukie dom. Kama abiria niliobeba watakuwemo humu basi wani samehe bure.
Nyuma walikaa mkaka na mdada wakaelewana Sana maana kumbe wanafanya KAZI Kwa muajiri mmoja. Nilie kaa nae mbele ni born town WA chuga mixer dalali mixer dereva nk nk. Sasa bwana baada ya kusimama babati kupata msosi ndo hapo Hali ya kwenye gari ili badilika.
Abiria alie kaa mbele alisisitiza toka Arusha kwamba AC sio nzuri kiafya pia inaongeza ulaji WA mafuta hivyo izimwe ashushe kioo. Nadhani alijua Hali ya tumbo lake lakini baada ya km kadhaa niliomba nipandishe vioo niwashe Ac maana gari inazuiwa na upepo. Ikawa hivyo mpaka babati
Hapa sasa baada ya Kula tukaendelea na Safari yetu. Ilinibidi Tu nishushe kioo Changu nilishindwa kuvumilia Ile harafu lakini wanyuma wakawa wanalalamika baridi baadae nawao.wakaipata Ile harafu jamaa alikua ana jamba saaaaana non stop alafu hasemi chochote kashikilia handle za juu ya mlango as if gari inapita kwenye mashimo Kwa mwendo WA Kasi.
Tulipo fika kondoa mm nikajifanya Kama nataka niongee na simu so nikasimama ili kutoa nafasi ya yeye kukimbia Chooni lakini wala hakujigusa. Tukaendelea na Safari kabla ya kutika kondoa kuna jamaa walinipita walikua wanakimbizana ilikua ni tako la nyani na Xtrail. Baada ya kuondoka hapo kondoa mbele nilikuta Ile tako la nyani ime pasua Mpira WA mbele kulia Yule alie Kua anakimbizana nae kamuacha.
Hapa nadhani ndio ilikua chance ya huyu jamaa anae Jambo hovyo kuweka Sawa tumbo lake baada ya kusimama Tu yeye ndio alikua wakwanza kushuka na Sisi kidogo Hali ikapoa kwenye gari. Tuka msaidia jamaa kubadili Mpira ule alikua Hana wheel spanner na Yuko pekeake kwenye gari alafu inaonyesha ni mgeni kabisaaaaaaa WA magari maana hata hand brake hajui iko wapi.
Nilitoka saa tisa kasoro kumi nimefika saa mbili usiku. Mpaka sasa Dar to Dodoma kupitia Arusha sina cheti wala sijatoa ya kufutia kiatu. Mungu nimwema tumefika salama.
Unataka jina la kijiji, kata, wilaya au mkoa?...wazee wa location, wapi hapa ..[emoji28][emoji2960]
Ukipatia una lita zako 20 za petrol..[emoji2960][emoji2960]View attachment 2380715View attachment 2380716
Hata la kijiji wilaya tu siyo mbaya..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Unataka jina la kijiji, kata, wilaya au mkoa?
Hata la kijiji wilaya tu siyo mbaya..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Na ziko nyingi kweli kiufupi Kuna baadh ya namba za gari zinatuachaga midomo wazi ni namba za wapiIla anvhi yetu ya ajabu sanaa hizi namba zimesumbua sanaa raia wemaa.
Binafsi shahidj mwaka 2019 pale moroco karibu na ofisi ya voda, kuna ajali ilitokea ..subaru legacy moja ilipi nduka kisha ikaenda kuangukia ktk mtaro uliopo mbele ya jengo la boda..
sasa hazikupita dak 20 dereva aliyekuwemo mle akawaita wenzake wakaja na magari madogo madogo moja ha gari ilo lilikuwa na playe number za namna iyo ilianzia SGR aisee wale mmoja wa wale jamaa alimshambulia bodaboda mmoja ambae alipita kudhangaa tu ile ajali ..jamaa alimpiga mingumi yule dogo wa boda boda kianzia pale nilikiwa najiulizaga bila majibu hizi palte number ni za taasisi gani ? ... Kumbe ilikuwa hamna kitu.......
...wazee wa location, wapi hapa ..
Ukipatia una lita zako 20 za petrol.. View attachment 2380715View attachment 2380716
Hii ni Kilimanjaro, Moshi vijijini,.Mashamba ya Miwa TPC ukiwa unatoka fonga gate!...wazee wa location, wapi hapa ..[emoji28][emoji2960]
Ukipatia una lita zako 20 za petrol..[emoji2960][emoji2960]View attachment 2380715View attachment 2380716
Tena hiki kipande cha barabara ya vumbi, nadhani ni kutokea pale kibaoni kuelekea new land kule. Kuna vumbi huko ni balaaHii ni Kilimanjaro, Moshi vijijini,.Mashamba ya Miwa TPC ukiwa unatoka fonga gate!
Dah.....wiki hii nataka nijaribu Dar - Moro - Dom kwa baisikeli. Lakini dhamira yangu ni kufika Durban kwa baisikeli......Naendelea kusoma comments za wenye magari😊
Welldone mkuu, jaribu hivyo na kuna wengine wameanza kwa baiskeli kutoka cape Town to cairo!Dah.....wiki hii nataka nijaribu Dar - Moro - Dom kwa baisikeli. Lakini dhamira yangu ni kufika Durban kwa baisikeli......