Vijana wanajipaga moyo crown ndege ya chini ona sasaWakuu hii nimeikuta imelala Wangutwa Wanging'ombe, pana njia panda na inaonekana mwamba kona ilimsView attachment 2392243hinda
Apo mwendo wa kunyataAsubuhi ya jana Njombe Town, mjini hapa oana traffic light mbili sasa. Hii ni ya zebra ya stendi ya zamani.View attachment 2392246
Na foglight ziwe ON.Apo mwendo wa kunyata
Pole mkuu ,wanyama ni changamoto mno na tatizo la kwetu hapa Tanzania wengi wamejenga makazi kwa kufuata hizi freeways, hawaepukiki but pls usigonge Giraffe 🦒 maana mmmmmNtadeal na wanyama barabarani kama watoto. Hawakadiriwi wala hawatabiriki. Njia salama ni kuwapa space ya kutosha na kusimama.
Duuu, miguu juu loo, tujifunze kitu muhimu kwenye huu uendeshaji ili kupunguza hii, yes speed sio nzuri ila sio speed pekee inayosababisha ajali, ni lazima dereva ujue fast na slow corners, na pia ujue breaking points zake, na jitahidi usiingie na heavy break kwenye corners, na pia endesha kwa kufuata driving line,sio road line ili kupata balance nzuri ya gari, na mwisho ukipata fedha...Mercedes Benz ndio gari salama hutakuja kuiona miguu juu!!!Wakuu hii nimeikuta imelala Wangutwa Wanging'ombe, pana njia panda na inaonekana mwamba kona ilimsView attachment 2392243hinda
Dar moro defender puma ilitumia saa moja na dk 25, mkuu hiyo inaweza ikatumia chini ya hapo.dar - moro ( saa moja nusu ), moro - dodoma ( masaa mawili na nusu ), dodoma-singida ( masaa mawili ), singida -shinyanga ( mawili ) , shinyanga - mwanza ( saa moja ) masaa tisa yatosha
Dar sehem gani? Asijekuwa alihesabia kibaha ni dar... Hizi claims hizi ngumu kuziprove unless umefanya mwenyeweDar moro defender puma ilitumia saa moja na dk 25, mkuu hiyo inaweza ikatumia chini ya hapo.
Sijawagonga wamenigonga.Pole mkuu ,wanyama ni changamoto mno na tatizo la kwetu hapa Tanzania wengi wamejenga makazi kwa kufuata hizi freeways, hawaepukiki but pls usigonge Giraffe [emoji3069] maana mmmmm
Unachoongea ni sahihi mkuu, ila hata hizo meck miguu juu zinaenda vizuri tu. Hii ipo miguu juu...Duuu, miguu juu loo, tujifunze kitu muhimu kwenye huu uendeshaji ili kupunguza hii, yes speed sio nzuri ila sio speed pekee inayosababisha ajali, ni lazima dereva ujue fast na slow corners, na pia ujue breaking points zake, na jitahidi usiingie na heavy break kwenye corners, na pia endesha kwa kufuata driving line,sio road line ili kupata balance nzuri ya gari, na mwisho ukipata fedha...Mercedes Benz ndio gari salama hutakuja kuiona miguu juu!!!
Nilipita hapo juzi niliona kuna taa kule kibena, stand ya zamani na huku juu kama unakuja stand mpya... hii idea inatakiwa waidapt haraka sana mbeya hasa pale uyole, ilomba, kabwe na mwanjelwaAsubuhi ya jana Njombe Town, mjini hapa oana traffic light mbili sasa. Hii ni ya zebra ya stendi ya zamani.View attachment 2392246
Moshi Jacaranda zipo pia, ukitoka YMCA ukashika njia barabara ya Shanty Town hii ya CCP inayopitiliza mpaka Junction ya hapa karibu na Uhuru Hostel ipo mingi tu. Pia around Shanty Town humo kwenye mitaa kadhaa ipo. Arusha pia in some places ipo, na hii ndio miezi yake ya kuchanuaView attachment 2391796
Imeisha. Hiyo miti yenye maua/majani ya purple sijawahi kuiona before. Ni nini?
Kilimasera ndio kile kipande chenye S corners nyingiiii???
Yes mkuuKilimasera ndio kile kipande chenye S corners nyingiiii???
masaa matano ngumu mzeeApproximately 8hrs up to 9hrs apo ni sawa mkuu Kuna port mmoja ivi anamuenesha mkuu flan ana vxr lc 200 aliniambia dar mwanza 5hrs akiwasha Yale mataa ya juu ya emergency
masaa sita kwa matano ni ngumu. maana kuna kama 1000km, hapo anaenda na wasting upi kuna tuta kuna kupishana kuna pabovu kona tuta... ngumu sana kuanzia masaa saba inaingia akiliniAlikujaza upepo tu,hakuna hii kitu kwa njia ya barabara.(Ardhini)
nikukute wapi nikupitie twende, ila usiwe mwepesi wa kutoa taarifa kwa DarlinWanaokwenda Dar- Zanzibar msiniache