Itigi hioMtaalamu wa location,fungua code hiiView attachment 2402784
Hilo tu au kuna njia nyingine mzee tushirikisheUkitaka ku save fuel endesha kwa minimal brakes. Ukiona tuta mbele achia mafuta mapema gari icoast by the time unalifijia tuta iwe ishapunguza momentum yenyewe. Then unaipa mafuta kidogo tu ya kulisogeza mpaka tuta lijalo kwasababu matuta yanakuwaga kwa mafungu.
Sikuhizi trip zangu zote napata consistently 11kmpl au zaidi kwenye gari ya 3500cc baada ya kubadilisha design ya uendeshaji
Upo sahihi mkuu.Itigi hio
Upo skwea mkuu.Hii itigi kama sikosei
Hivi hii road mkandarasi yupo site kutia lami ya kwenda kutokea Lupembe Njombe ama bado mipango ipo kwenye makaratasi tu?? Hali yake kwa sasa ni vipi, yaweza pitika na gari yoyote ama namna gani?Wakuu nipeni location.View attachment 2404101
Ah wapi ni vile vile mkuu naona bado Wana survey [emoji2] kipande ambacho naona kinawekwa lami ni mikumi-luaha-ifakara kwanzia ifakara Hadi njombe via mlimba,mngeta hamna kituHivi hii road mkandarasi yupo site kutia lami ya kwenda kutokea Lupembe Njombe ama bado mipango ipo kwenye makaratasi tu?? Hali yake kwa sasa ni vipi, yaweza pitika na gari yoyote ama namna gani?
Hii barabara siwezi isahau asee. Tulipata pancha pale Chita ndani ya kambi ya jeshi, mjeda akasema kama hamuwezi kuliendesha hilo gari mpaka nje ya kambi basi mlikokote ila ni marufuku kulipaki humu ndani[emoji1]. Hapo pancha tairi ya mbele na nyuma upande mmojaWakuu nipeni location.View attachment 2404101
[emoji3][emoji2][emoji16] hii ni Kali ya mwaka rim ilipona kweliHii barabara siwezi isahau asee. Tulipata pancha pale Chita ndani ya kambi ya jeshi, mjeda akasema kama hamuwezi kuliendesha hilo gari mpaka nje ya kambi basi mlikokote ila ni marufuku kulipaki humu ndani[emoji1]. Hapo pancha tairi ya mbele na nyuma upande mmoja
Jaribu mkuu, huko ndilo kubwa. Utaona mabadilikoHilo tu au kuna njia nyingine mzee tushirikishe
Kama Lumemo-Ifakara hiviWakuu nipeni location.View attachment 2404101
Mule mule mkuuu Tena pale kwenye daraja la chuma mbele kidogo wanauza alkasus.Kama Lumemo-Ifakara hivi
Wakuu wazoefu kuna impact gani mtu akijifunza kuendesha gari halafu akakaa muda bila kuendesha gari. Nataka nijifunze lakini sina ndinga kwa sasa.
Practice makes perfect !!!Wakuu wazoefu kuna impact gani mtu akijifunza kuendesha gari halafu akakaa muda bila kuendesha gari. Nataka nijifunze lakini sina ndinga kwa sasa.
Kwa sasa ujuzi wa kuendesha gari ni ujuzi wa msingi kabisa kuwa nao kama tu kutumia computer, kuongea lugha mbalimbali za Kimataifa n.k Hujui ni siku ipi huo ujuzi utakufaa wewe ama jamii ikuzungukayo. Jifunze sasa, magari ya mazoezi utayaona ukishafuzu na utajishangaa why 'umechelewa' [emoji4][emoji4] Kila la heriWakuu wazoefu kuna impact gani mtu akijifunza kuendesha gari halafu akakaa muda bila kuendesha gari. Nataka nijifunze lakini sina ndinga kwa sasa.
Kujua kuendesha gari ni muhimu.Wakuu wazoefu kuna impact gani mtu akijifunza kuendesha gari halafu akakaa muda bila kuendesha gari. Nataka nijifunze lakini sina ndinga kwa sasa.
Ilipona ila tulitembea polepole sana. Kitu kama 5km au 10km per hour nahisi ndo ulikua mwendo wetu. Hapo tumetoka mlimba saa mbili asubuhi ila tuliingia Ifakara saa nne usiku na Moro mjini saa kumi alfajiri. Mwendo wa pancha tu, barabara ilikua na mawe utafikiri yamechongwa na watu kwa namna yalivyokua na ncha kali[emoji3][emoji2][emoji16] hii ni Kali ya mwaka rim ilipona kweli
Duuu mlimba adi ifakara kama umenyoosha mguu 2hrs kwa Ile road ukiamua Hadi 1h unafikaIlipona ila tulitembea polepole sana. Kitu kama 5km au 10km per hour nahisi ndo ulikua mwendo wetu. Hapo tumetoka mlimba saa mbili asubuhi ila tuliingia Ifakara saa nne usiku na Moro mjini saa kumi alfajiri. Mwendo wa pancha tu, barabara ilikua na mawe utafikiri yamechongwa na watu kwa namna yalivyokua na ncha kali
Safari ilikua na majanga tu hiyo siku. Kwanza tulipewa tairi moja na jamaa wa noah, ila matundu ya studs hayafanani, kuagiza tairi kutoka ifakara zimefika saa kumi jioni na zenyewe tumeletewa feki, maana kuziweka upepo tu zikaanza kuvimba, tulikosa tairi hata used pale chita. Ikabidi tufunge tairi la mkokoteni ndo tukafanikiwa kufika Ifakara kwa mwendo mdogo mdogoDuuu mimba adi ifakara kama umenyoosha mguu 2hrs kwa Ile road ukiamua Hadi 1h unafika