Walishafunga mapema mkuu, walikuwa wanakusanya vitu vyao [emoji28]Lutheran Junior Seminary hapa, umewakuta wajomba hawajafunga kijiwe chao bado [emoji4][emoji4]
Junior Seminary hioThanks mkuu, narudi sasaView attachment 2417709
Ila naona hii picha kuna waombelezaji hawana respect, why wamesimama juu ya makaburi?hii sio sawaSoon nageuzaView attachment 2417630
80km to 100km/h utakutana na wazee wa vitochi vya 50km,muda mzuri ni usiku tu, ondoka hapo makambako at 18:00hrs, ukifika iringa at 21:00hrs unaanza to treck tankers zinazorudi tupu, zinasaidia to clear your way ila lazima tank driver umpe respect yake, don't tailgate him pls, atachukiaWazee wa road trip naomba kujuzwa muda mzuri wa kutoka makambako kwenda Dar lakini nisikutane na wazee wa kutanua(Bus Eg Sauli ) pale IYOVI ? Sitaki kabisa kukutana na hawa Jamaaaa mwendo wangu ni 80-100km/he sizidishi
Welldone, Lufuna ...Jina hili Nina historia nalo sana..ni Jina la kijiji fulani wilaya ya Mufindi..looooooo maisha yale, Jina hili limerudisha good memory yangu
Ukiwa na Land Cruiser series 70s,100,200,300 au Nissan Patrol y61 hawana habari na wewe. Kama gari za mzungu weka bendera ya chama ndani kwenye rear view mirror,kama gari ina tyre spare funika na wheel cover ya tangazo la URA Saccoss, Taasisi za ulinzi au mashirika makubwa hutapunguza mikono ya trafficWakuu naombeni code za kutosumbuliwa na askari barabarani ukiwa na ndinga kubwa ya heshima
Umetisha manUkiwa na Land Cruiser series 70s,100,200,300 au Nissan Patrol y61 hawana habari na wewe. Kama gari za mzungu weka bendera ya chama ndani kwenye rear view mirror,kama gari ina tyre spare funika na wheel cover ya tangazo la URA Saccoss, Taasisi za ulinzi au mashirika makubwa hutapunguza mikono ya traffic
Mimi niliwashangaa siyi sawa kabisaIla naona hii picha kuna waombelezaji hawana respect, why wamesimama juu ya makaburi?hii sio sawa
Kila la kheri mkuu.Kanaoga hapa Chuga then kanaitafuta Rock City chap View attachment 2422864
Mnyalukolo? Lufuna, Mufindi ni shina la familia yangu. Marehemu babu yangu alikuwa pale. Na mimi nilipapenda sana toka utotoni. Likizo nyingi nilikuwa nikimtembelea babu! Great memories!Welldone, Lufuna ...Jina hili Nina historia nalo sana..ni Jina la kijiji fulani wilaya ya Mufindi..looooooo maisha yale, Jina hili limerudisha good memory yangu
We have something in common kuhusu kijiji hiki cha Lufuna, shangazi yangu amepumzika pale kwa mapumziko yake ya milele, looo kuishi Lufuna village shule Kibao, asubuhi lilikua zoezi tosha!Mnyalukolo? Lufuna, Mufindi ni shina la familia yangu. Marehemu babu yangu alikuwa pale. Na mimi nilipapenda sana toka utotoni. Likizo nyingi nilikuwa nikimtembelea babu! Great memories!
Mkuu poleni na samahani huu msiba ulikuwa iringa na ni wa mkubwa mmoja hivi au nimeufananisha tuSoon nageuzaView attachment 2417630
We have something in common kuhusu kijiji hiki cha Lufuna, shangazi yangu amepumzika pale kwa mapumziko yake ya milele, looo kuishi Lufuna village shule Kibao, asubuhi lilikua zoezi tosha!
Thanks mkuu, huu msiba ulikuwa morogoro nilienda kushiriki kumpumzisha dada yake steve mengeleMkuu poleni na samahani huu msiba ulikuwa iringa na ni wa mkubwa mmoja hivi au nimeufananisha tu
Musoma saa 2 usiku
Trip ya usiku kucha bila kupumzika
Dar es Salaam saa 5 asubuhi
1330+ kilometre non stop
Masaa 15+ barabarani mwenyewe ndani ya gari
Nimewejiwekea rekodi ambayo sidhani kama nitakuja kuivunja. Mungu ni mwemaView attachment 2159173