Kwa muujiza wa mwamposaLabda atufafanulie anaendeshaje.
Kuna kitu kinaitwa Google mapDecember 22 ..
Road trip Moshi to lake nyasa bamba bay... Gari Harrier matako ya nyani .. mwenye kujua road ya moshi mpk lake nyasa anipe direction wadau...
Tako la nyani safari za mbali huwa n gari moja zuri sana... long trip... inateleza tu... afu pemben umeweka Kvaaaaaa safari n tamu mnoooo aiseee...Moshi mpaka makambako road sio mbaya kivile makambako tu songea ndio inatakiwa umakini na ilo tako la nyani na kona sio mchezo.kama unarudia mbeya kutoka kyela kuja uyole napo umakini pia na hizi mvua usije kuingia porini
Hio kvaaa ni ile inapoteza kumbukumbu? Usifanye hivyo mkuu. Hata ikitokea umechomekewa watu watajaji hio kvaa.Tako la nyani safari za mbali huwa n gari moja zuri sana... long trip... inateleza tu... afu pemben umeweka Kvaaaaaa safari n tamu mnoooo aiseee...
We Mama Nanayakala umemuacha wapi Mwl Kitutu? Sasa kule mlimani nakupitia lini? Siku zinakaribia.
Shida gari ya juu na kona kama ni mgeni ni shidaTako la nyani safari za mbali huwa n gari moja zuri sana... long trip... inateleza tu... afu pemben umeweka Kvaaaaaa safari n tamu mnoooo aiseee...
Nitakushtua nikipita Mombo ndani ya wiki hii inayokuja. Huwa sipo group yoyote.Yaani weee Baba Taibali....
Nimetabasamu weeh halafu nimechekaaa......😁😁😁😁
Haki umeniweza...😅😅😅
Leo jioni nakunywa kahawa nikiwa Mambo View, hapo nakusubiria wewe unipitie....
Missed you alot...😊😊🥰.
NB: Hivi upo kwenye group la Muhi2?
Mimi sipo ila najua lipo, umemtaja huyo mama nimekumbuka mbaliii...😇.
Mkuu bila Kvaaaaaa safari za mbali huwa nasinziaa balaaaa.. so Kvaaaaaa huwa inanichangamsha .. nakunywa kwa wastanii na Kvaaaaaa inanipa umakini sanaaaHio kvaaa ni ile inapoteza kumbukumbu? Usifanye hivyo mkuu. Hata ikitokea umechomekewa watu watajaji hio kvaa.
Tunamuelewesha tu maana anaringishia tako la nyaniWewe muache tu Kuna siku atakuelewa.
Ni kwel kwenye kona gari za juu huwa n changamoto especially road ambayo n ngeni..Shida gari ya juu na kona kama ni mgeni ni shida
Duhhh aisee mkuu naringishia tena aisee.. dahhh kazi kwel kwelTunamuelewesha tu maana anaringishia tako la nyani
Makambako mpaka songea kuna kona za kutoshaNi kwel kwenye kona gari za juu huwa n changamoto especially road ambayo n ngeni..
Ile barabara ya kyela-uyole-mbeya ndo siiifaham kbsaa .. unaweza nipa hits.. iliwakat wa kurud niwe na ABC nayo..Makambako mpaka songea kuna kona za kutosha
Ile sio mbaya sana wakati wa kurudi kutoka kyela kuna kona chache kule kwenye mashamba ya majani ya chai maana kutoka kule asilimia kubwa unapanda kuja mbeya labda kidogo hii kushuka kuja uyole sema ukikutana na mvua kua mpole maana barabara yenyewe sehemu hua inatelezaIle barabara ya kyela-uyole-mbeya ndo siiifaham kbsaa .. unaweza nipa hits.. iliwakat wa kurud niwe na ABC nayo..