Tupo walevi wenye kupenda gari zenye cc kubwa, hiyo inakuwa mteremko kwetu 😃😃Gari zozote zile(toyota,bmw,nissan etc) yenye cc kubwa kibongo bongo hapa tegemea bei kushuka kwa speed ya ajabu sana.
Ukiwa smart na unajiamini trafic wenyewe huwa wana gwaya.. usiwe maneno mengi mengi tu 😀😀Niliwaona wengi double road na camera zao, nilisimamishwa Kia nilipofungua kioo tu(kina tinted) akaniruhusu niondoke bila maswali zaidi!
mkuu hapa udereva na matairi haviwezi kuwa chanzo????
Inategemea na condition ya gariSasa hivi IST yenye mwaka hapa Bongo inapatikana Kwa bei gani?
Tairi likiacha ardhi la chini huwa halizunguki,yaliyoinuka ndio yanazunguka kwenye gari za kawaida. Lakini hizi 4*4 matairi yote yanajitegemea kwahio yanazunguka kutegemeana na mazingira.mkuu hapa udereva na matairi haviwezi kuwa chanzo????
linapanda wakati matairi hayazunguki
Dah ila dakika ya 1:30 ni udhalilishaji wa hali ya juuTairi likiacha ardhi halizunguki,yaliyokanyaga chini ndio yanasukuma gari
Ukiwa unatokea hii barabara inayotoka Dar express kushuka kama Idara ya maji, utafika junction ya pale Cafe laziz, iache endelea mbele kuna bara bara inaingia kulia iache, mbele kidogo kuna barabara nyingine inaingia kulia ukiingia nayo hiyo itakufikisha duka moja maarufu la vioo vya magari linaitwa Limpopo...kabla ya hilo duka hiyo njia itaingia kusho kisha kulia tena basii huo mtaa utaona magari mengi sana yaliyopata ajali na maduka mengi sana ya spea used...hako ndiyo December au chinja chinja...Huo mtaa upo wapi?
Inawezekana napita ila sipafahamu.
nimeamini jamaa yetu wewe magari mapya ya serikali au Taasisi ndio maana hukamatwi, hakuna Traffic wengi na wabaya km wa Arusha, hata Kangi Lugola alishafumua ngazi ya juu. Hiyo double road wamejaa na Camera ukiingia toa Tengeru wapo pale Chama, km unaelekea Moshi USA river, king'ori kwa Sadala njia ya Machame, Moshi Tech, yaani ni mwendo chini ya 50, au labda tuna magari yenye namba za zamani ndio tunaonewa kila tukitokeza wanajua pesa ya kubrush, Magari ya STK, SU, DFP hamguswiUkiwa smart na unajiamini trafic wenyewe huwa wana gwaya.. usiwe maneno mengi mengi tu 😀😀Tupo walevi wenye kupenda gari zenye cc kubwa, hiyo inakuwa mteremko kwetu 😃😃
Njia ya Arusha-Moshi kuna sehemu katikati ni pori kuna Kona fulani ila kuna 50kph limit. Sasa porini kuna sababu gani ya kuweka 50kph limit?nimeamini jamaa yetu wewe magari mapya ya serikali au Taasisi ndio maana hukamatwi, hakuna Traffic wengi na wabaya km wa Arusha, hata Kangi Lugola alishafumua ngazi ya juu. Hiyo double road wamejaa na Camera ukiingia toa Tengeru wapo pale Chama, km unaelekea Moshi USA river, king'ori kwa Sadala njia ya Machame, Moshi Tech, yaani ni mwendo chini ya 50, au labda tuna magari yenye namba za zamani ndio tunaonewa kila tukitokeza wanajua pesa ya kubrush, Magari ya STK, SU, DFP hamguswi
View attachment 1675723View attachment 1675948
Nahisi nimeshapia juzi kati hapo.Ukiwa unatokea hii barabara inayotoka Dar express kushuka kama Idara ya maji, utafika junction ya pale Cafe laziz, iache endelea mbele kuna bara bara inaingia kulia iache, mbele kidogo kuna barabara nyingine inaingia kulia ukiingia nayo hiyo itakufikisha duka moja maarufu la vioo vya magari linaitwa Limpopo...kabla ya hilo duka hiyo njia itaingia kusho kisha kulia tena basii huo mtaa utaona magari mengi sana yaliyopata ajali na maduka mengi sana ya spea used...hako ndiyo December au chinja chinja...View attachment 1675846
Hiyo double road imekaa kishamba sana.nimeamini jamaa yetu wewe magari mapya ya serikali au Taasisi ndio maana hukamatwi, hakuna Traffic wengi na wabaya km wa Arusha, hata Kangi Lugola alishafumua ngazi ya juu. Hiyo double road wamejaa na Camera ukiingia toa Tengeru wapo pale Chama, km unaelekea Moshi USA river, king'ori kwa Sadala njia ya Machame, Moshi Tech, yaani ni mwendo chini ya 50, au labda tuna magari yenye namba za zamani ndio tunaonewa kila tukitokeza wanajua pesa ya kubrush, Magari ya STK, SU, DFP hamguswi
View attachment 1675723View attachment 1675948
Hata pale kwenye daraja la kikafu sijaona sababu ya kuweka speed ndogo vile.Njia ya Arusha-Moshi kuna sehemu katikati ni pori kuna Kona fulani ila kuna 50kph limit. Sasa porini kuna sababu gani ya kuweka 50kph limit?
Mkuu situmii STL SU J DFP 😃😃😃... na sijawahi simamishwa.. na hata ikatokea nikasimamishwa sija cha kuhofia nitasimama tunimeamini jamaa yetu wewe magari mapya ya serikali au Taasisi ndio maana hukamatwi, hakuna Traffic wengi na wabaya km wa Arusha, hata Kangi Lugola alishafumua ngazi ya juu. Hiyo double road wamejaa na Camera ukiingia toa Tengeru wapo pale Chama, km unaelekea Moshi USA river, king'ori kwa Sadala njia ya Machame, Moshi Tech, yaani ni mwendo chini ya 50, au labda tuna magari yenye namba za zamani ndio tunaonewa kila tukitokeza wanajua pesa ya kubrush, Magari ya STK, SU, DFP hamguswi
View attachment 1675723View attachment 1675948
Ila wapenda magari used yenye cc kubwa kibongo bongo wanayapataga kwa bei ya kitonga sana.Kwasababu wanunuzi wa mkononi ni watu wa bajeti sasa migari inayokunywa mafuta hawaiwezi.
Ushauri muhimu sana huu.Uzuri kodi unaijua kabla. Ingine kwenye calculator ya TRA utajua gari uitakayo itakugharimu kiasi gani.
Shida ni kuagiza gari November na December ikifika ni January ambapo hawa jamaa wanakuwa washapandisha ushuru wakati wewe imepiga hesabu 5m unakutana na 8m.
Jitahidi uaguze gari ifike ndani ya mwaka husika.
😃😃😃😃😃 1 in a 1,000,000 mkuu.Tupo walevi wenye kupenda gari zenye cc kubwa, hiyo inakuwa mteremko kwetu 😃😃