NALIA NGWENA
JF-Expert Member
- Oct 6, 2016
- 10,587
- 13,425
Walipokutana kwenye ngao ya Jamii matokeo yalikuwaje? Tuanzie hapoKumekua na kasumba ya kulinganisha wachezaji na mahesabu kihasibu kupigwa namna gani mchezaji anaitia hasara timu.
Lakini Cha kushangaza toka atue Yao (jeshi) beki kitasa, beki serious beki mwenye uwezo mkubwa katika ligi ya Nbcpl wazee wa statistics na comparison wapo kimya hawataki hata kusikia Mambo ya kikosi Cha Yanga sc.
Unamuuliza Nani Sasa??Walipokutana kwenye ngao ya Jamii matokeo yalikuwaje? Tuanzie hapo
Na Mimi napigilia msumari hapo hapoWalipokutana kwenye ngao ya Jamii matokeo yalikuwaje? Tuanzie hapo
Aliyeanzisha uzi kudai statisticsUnamuuliza Nani Sasa??
Anzisha wewe mkuu. Kwani kunashida wapi? hakuna mgawanyo wa hiki lazima aanzishe fulani na fulaniKumekua na kasumba ya kulinganisha wachezaji na mahesabu kihasibu kupigwa namna gani mchezaji anaitia hasara timu.
Lakini Cha kushangaza toka atue Yao (jeshi) beki kitasa, beki serious beki mwenye uwezo mkubwa katika ligi ya Nbcpl wazee wa statistics na comparison wapo kimya hawataki hata kusikia Mambo ya kikosi Cha Yanga sc.
Hii siyo kawaida kabisa nilitegemea kuona comparison ya Yao na Beki Bora namba mbili Shomari kapombe kutoka lunyasi.
Muhasibu OKW BOBAN SUNZU na wengineo kutoka ukolokoloni karibuni sana.View attachment 2768897
Umesahau kibu d na mayele mzeeChama na Saido.❌
Chama na FEISAL salum. ❌
Chama na Azizi ki❌
Chama na Max❌
Shomary na kibwana❌
Shomary na JUMA Shaban❌
Shomary na Yao kwasi❌
Shomary na zana kolibary❌
Shomary na Mwenda❌
BADO HAMJASEMA.
Tupe takwimu ya Kila mchezajiWalipokutana kwenye ngao ya Jamii matokeo yalikuwaje? Tuanzie hapo
Chama na Saido.[emoji777]
Chama na FEISAL salum. [emoji777]
Chama na Azizi ki[emoji777]
Chama na Max[emoji777]
Shomary na kibwana[emoji777]
Shomary na JUMA Shaban[emoji777]
Shomary na Yao kwasi[emoji777]
Shomary na zana kolibary[emoji777]
Shomary na Mwenda[emoji777]
BADO HAMJASEMA.
Huwezi kulinganisha Yao na vitu vya kijinga.Kumekua na kasumba ya kulinganisha wachezaji na mahesabu kihasibu kupigwa namna gani mchezaji anaitia hasara timu.
Lakini Cha kushangaza toka atue Yao (jeshi) beki kitasa, beki serious beki mwenye uwezo mkubwa katika ligi ya Nbcpl wazee wa statistics na comparison wapo kimya hawataki hata kusikia Mambo ya kikosi Cha Yanga sc.
Hii siyo kawaida kabisa nilitegemea kuona comparison ya Yao na Beki Bora namba mbili Shomari kapombe kutoka lunyasi.
Muhasibu OKW BOBAN SUNZU na wengineo kutoka ukolokoloni karibuni sana.View attachment 2768897
Mbona mayele na Kibu hujatajaChama na Saido.[emoji777]
Chama na FEISAL salum. [emoji777]
Chama na Azizi ki[emoji777]
Chama na Max[emoji777]
Shomary na kibwana[emoji777]
Shomary na JUMA Shaban[emoji777]
Shomary na Yao kwasi[emoji777]
Shomary na zana kolibary[emoji777]
Shomary na Mwenda[emoji777]
BADO HAMJASEMA.
O-0 na refa alikataa mabao mawili yalio ingia kwenye goli la walilovaa nyekundu.Walipokutana kwenye ngao ya Jamii matokeo yalikuwaje? Tuanzie hapo
Kweli mkuu hakika Yao ni mwamba kabisa.Huwezi kulinganisha Yao na vitu vya kijinga.
[emoji16]Walipokutana kwenye ngao ya Jamii matokeo yalikuwaje? Tuanzie hapo
[emoji2772]Chama na Saido.[emoji777]
Chama na FEISAL salum. [emoji777]
Chama na Azizi ki[emoji777]
Chama na Max[emoji777]
Shomary na kibwana[emoji777]
Shomary na JUMA Shaban[emoji777]
Shomary na Yao kwasi[emoji777]
Shomary na zana kolibary[emoji777]
Shomary na Mwenda[emoji777]
BADO HAMJASEMA.
Na juzi katoa assistHATARI SANA HUYO NDIYO YAO YAO