Wazee wa usiku

CAPO DELGADO

JF-Expert Member
Joined
Aug 31, 2020
Posts
8,542
Reaction score
18,340
Habari wakuu.

Nimeamua kumaliza UJANA wangu kwa kufanya starehe/kula Bata ndani ya Mwaka Huu mmoja 2022.

Kuna uwezekano mkubwa sana nikapata mwenza wa Maisha Mke Mwaka 2023/24.
Mipango ya Mungu ikitimia.

Swali
Naulizia sehemu nzuri ya kula bata? Napenda nimalizie kula mziki. Maua mengi, ila sipendi kabisa wanawake wa baa. Sinywi pombe. Napenda sana mziki, lakini wa baa siyo wa club.

Ni maeneo gani mazuri kwa mziki nyomi Sinza na Tabata ukitoa Kitambaa Cheupe?

Naomba kuwasilisha.
 
M
Kufa zako myahudi wa buza
 
Andika vizuri mkuu ni kama sijaelewa vizuri.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…