X_INTELLIGENCE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2014
- 10,400
- 14,339
- Thread starter
- #21
Yah wapo watu waliofanyiwa hivyo ndio hao unao waona familia zao zimejaa watu wa ajabu ajabu...mapombe na mikosi haiwaishi kumbe bibi Yao au babu Yao alimlaani mama Yao..Kwa kumloga🤣🤣🤣 fundo halijafunguliwaMara akufungie fundo hata kabla hujaomba msamaha akate kamba [emoji88]