Sijui kama umewahi kuexperience jambo kama hili,
Wazee wa zamani waliweza kutumia viungo vya ndani vya mnyama kupredict yajayo ama jambo lolote BAYA lijalo.
Mnyama kama mbuzi angechinjwa na wajuzi wangetumia viungo vyake vya ndani kufanya utabiri wa mambo yajayo, sijui kama wewe umewahi kukutwa na ishu kama hii .ila Kwa Sasa nimeachana na ushirikina jamani.
Wazee wa zamani waliweza kutumia viungo vya ndani vya mnyama kupredict yajayo ama jambo lolote BAYA lijalo.
Mnyama kama mbuzi angechinjwa na wajuzi wangetumia viungo vyake vya ndani kufanya utabiri wa mambo yajayo, sijui kama wewe umewahi kukutwa na ishu kama hii .ila Kwa Sasa nimeachana na ushirikina jamani.