fungi6 JF-Expert Member Joined Nov 24, 2017 Posts 287 Reaction score 266 May 4, 2020 #1 Haha ivi ni kwa nini wabongo wengi wakipewa simu ya mtu waangalie picha wana swipe next utazani wameruusiwa. Doh inaboa sana.
Haha ivi ni kwa nini wabongo wengi wakipewa simu ya mtu waangalie picha wana swipe next utazani wameruusiwa. Doh inaboa sana.
Mahondaw JF-Expert Member Joined Apr 9, 2013 Posts 67,252 Reaction score 168,563 May 4, 2020 #2 siti ya mbele kabisa nyuma ya dereva Cc Smart911
C commm JF-Expert Member Joined Sep 6, 2019 Posts 1,709 Reaction score 1,963 May 4, 2020 #3 Mkuu hilo ndio tatizo kubwa la wabongo, Umbea tu unawasumbua
Vhagar JF-Expert Member Joined Jun 8, 2015 Posts 20,550 Reaction score 39,949 May 4, 2020 #5 😂😂hata mimi huwa sielewi. . Anaanza kuangalia picha nyingine zisizo muhusu. Tena bila haya mtu anaanza na kuhoji. Huyu ndio shemeji??
😂😂hata mimi huwa sielewi. . Anaanza kuangalia picha nyingine zisizo muhusu. Tena bila haya mtu anaanza na kuhoji. Huyu ndio shemeji??
fungi6 JF-Expert Member Joined Nov 24, 2017 Posts 287 Reaction score 266 May 4, 2020 Thread starter #6 troublemaker said: 😂😂hata mimi huwa sielewi. . Anaanza kuangalia picha nyingine zisizo muhusu. Tena bila haya mtu anaanza na kuhoji. Huyu ndio shemeji?? Click to expand... Haha kwa kweli nikazan n mm alon
troublemaker said: 😂😂hata mimi huwa sielewi. . Anaanza kuangalia picha nyingine zisizo muhusu. Tena bila haya mtu anaanza na kuhoji. Huyu ndio shemeji?? Click to expand... Haha kwa kweli nikazan n mm alon