Wazee waku swipe pembeni

Wazee waku swipe pembeni

fungi6

JF-Expert Member
Joined
Nov 24, 2017
Posts
287
Reaction score
266
Haha ivi ni kwa nini wabongo wengi wakipewa simu ya mtu waangalie picha wana swipe next utazani wameruusiwa. Doh inaboa sana.
 
Mkuu hilo ndio tatizo kubwa la wabongo,

Umbea tu unawasumbua
 
IMG_20200502_210219.jpg
 
😂😂hata mimi huwa sielewi.
. Anaanza kuangalia picha nyingine zisizo muhusu. Tena bila haya mtu anaanza na kuhoji. Huyu ndio shemeji??
 
Back
Top Bottom