Mwalimu...
Katika mswada wa kitabu cha kumbukumbu za Kleist Sykes alioandika kabla ya kifo chake mwaka wa 1949 Kleist anasema viongozi wa kanisa wakiwaonya waumini wao kutojihusisha na siasa.
Mswada huu ni sura katika kitabu alichohariri John Illife, "Modern Tanzanians," (1973).