ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Mkuu kumbe wewe bado kijana mdogoUkipiga bao 1 ni sawa umekwenda KM 15, mazoezi tosha hayo.
Mzee wetu anaichungulia 60 sasa hivi.
Babu bado yupo gado.
NB: Huu mtazamo wako unahitaji uthibitisho wa kisayansi
Kwa nini mkuu?Mkuu kumbe wewe bado kijana mdogo
we nomaaaaaNimefanya tathmini nimegundua wanandoa wengi waliozaa watoto wengi kuanzia sita au nane au kumi huwa wanaishi miaka mingi wanafikia sitini au sabini.lakini familia nyingi zenye watoto kidogo aidha wawili au watatu huwa wazazi wanakufa wanapotea mapema.kwa hiyo nawasisitiza mzae watoto wengi ili mfike uzeeni.
sawa bwanaUtafiti wa twaweza sio
sawa bwana
weee mungu ndo bwanangu upooNani bwana ako?
Na mimi ni mungu piaweee mungu ndo bwanangu upoo
Kama mzee wako ana 60 inamaana nyie mpo around 30 hiviKwa nini mkuu?
Nenda kazae ovyo uone utakavyo konda harakaNimefanya tathmini nimegundua wanandoa wengi waliozaa watoto wengi kuanzia sita au nane au kumi huwa wanaishi miaka mingi wanafikia sitini au sabini.lakini familia nyingi zenye watoto kidogo aidha wawili au watatu huwa wazazi wanakufa wanapotea mapema.kwa hiyo nawasisitiza mzae watoto wengi ili mfike uzeeni.
Mzee aliwahi kuoa akiwa na umri mdogo(20+), na hakuchelewa kuanza kupata watoto.Kama mzee wako ana 60 inamaana nyie mpo around 30 hivi
Halafu ukute wewe last Born
Hahah poa poa mkuuMzee aliwahi kuoa akiwa na umri mdogo(20+), na hakuchelewa kuanza kupata watoto.
Japo watoto wa kike ndio waliotangulia kuzaliwa ila na sisi wakiume napo tunafuatia karibu.
Hadi sasa mzee anahesabu vitukuu
[emoji3][emoji3][emoji106][emoji106][emoji106]Hahah poa poa mkuu