Wazee wenzangu 60 +

Mimi wa umri huo sihangahiki nasubiri tukishalewa kwa ulanzi namwambia twende kwangu tukaangalie taarifa ya habari ,Kuna Mambo ya msingi raisi anaongea huko huko atajikuta tupo chumbani
Ulanzi hasa upate mdindifu....
Lakini sasa huku nilipo haupatikani....
 

Attachments

  • IMG-20240909-WA0023.jpeg
    614.7 KB · Views: 4
  • IMG-20240909-WA0023.jpeg
    614.7 KB · Views: 3
Naam maneno Kuntu....
Ila akinipiga kibuyu ndio mtihani.....wasiwasi wangu anaongea sana asije waambia wanae....manake wana niheshimu sana.
Mwanaume ni mwanaume tu hata akizeeka, kutongoza ni nature yetu. Tangu nimejitambua huwa siogopi kutongoza maana ni kawaida kwa sisi wanaume na kwa ke ni kawaida sana kutongozwa.
 
Mzee mwenzetu unataka kufa au๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚achana na pyapuchy ,huu ni wakati wa kurudi kwa MUNGU ili tufikie mwisho mwema wewe vipi
Mzee mwenzetu unatuaibisha๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Cc Fake P
 
Kumbe wajinga nao HUZEEKA..
alilidika "nabii mswahili"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ