๐ kwa hali hii ndio vijana tuwe na maadili, sahauniMzee mwenzangu, tangu mtoto wa 2000 atake kunipandisha Presha katikati ya mchezo Sina hamu nao tena.
Yaani mwenzie huwa naenda safari moja Kwa Mwaka yeye akataka niende safari 2 ๐
Watu wazima wenzio sawa ila vijukuu achana navyo vitakula mafao vikuache ufe na presha.Maadili mbali na haya mahitaji muhimu ya kiasili mbali...kutongoza mtu mzima mwenzangu ni moja ya maadili...kupata utulivu...
Ulanzi hasa upate mdindifu....Mimi wa umri huo sihangahiki nasubiri tukishalewa kwa ulanzi namwambia twende kwangu tukaangalie taarifa ya habari ,Kuna Mambo ya msingi raisi anaongea huko huko atajikuta tupo chumbani
Mwanaume ni mwanaume tu hata akizeeka, kutongoza ni nature yetu. Tangu nimejitambua huwa siogopi kutongoza maana ni kawaida kwa sisi wanaume na kwa ke ni kawaida sana kutongozwa.Naam maneno Kuntu....
Ila akinipiga kibuyu ndio mtihani.....wasiwasi wangu anaongea sana asije waambia wanae....manake wana niheshimu sana.
Kumbe wajinga nao HUZEEKA..Hebu tupeane uzoefu...kumtongoza mwanamke wa umri 60 +...... nini matokeo? Je? Kuna uwezekano wa kupigwa kibuyu? Wazee wenzangu hebu tupeane mrejesho.......Kuna mzee mwenzangu nina hofu asije nitangaza akanivunjia heshima....wasiwasi wangu wanawake huongea sana.๐๐๐
Dogo unazingua. Na kuanzia leo naitaka shikamoo yangu!Yaani mimi na miaka yangu 38 najionaga ni mtu mzima sana hapa jf kumbe Kuna wengine mna 60+ mmepga kimya tu.
Wengine tunaenda kununua Corner Bar vitoto vya 'afumbili' hakuna usumbufu,bei poa ufundi mwingiMkuu gari bovu huvutwa na zima
Yaani unataka na Uzee huu niendelee kudate na Mzee mwenzangu wa miaka 60?
Hata hivyo Wazee tuna mbinu, hapa nina azina ya mbinu 1000+
Mzee mwenzangu mbona upo sehemu nzuri nipe hata mwaliko nije ninga'rishe machoUlanzi hasa upate mdindifu....
Lakini sasa huku nilipo haupatikani....
Kinondoni hapo mwanamke wa kijijini utamkuta wapi sio Uyole hapo wewe Mzee..Wenzako wa umri wako, tunatembea na wanawake wa kijini