Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Kama hauna mafao utakula nini mafao si wanakula hao watu wa kikokotoo..Watu wazima wenzio sawa ila vijukuu achana navyo vitakula mafao vikuache ufe na presha.
Wazee wa hovyo , wazee wasiotaka salamu kabisa akikuona anawahi kukusalimia ili usimpe shikamoo ukijikoroga tu kumpatia shikamoo anakunja sura . mkuu kwa umri wako nilitarajia uwe mchamungu kweli kweliHebu tupeane uzoefu...kumtongoza mwanamke wa umri 60 +...... nini matokeo? Je? Kuna uwezekano wa kupigwa kibuyu? Wazee wenzangu hebu tupeane mrejesho.......Kuna mzee mwenzangu nina hofu asije nitangaza akanivunjia heshima....wasiwasi wangu wanawake huongea sana.πππ
Gen Z watakuua usipokuwa makini.Mzee mwenzangu, tangu mtoto wa 2000 atake kunipandisha Presha katikati ya mchezo Sina hamu nao tena.
Yaani mwenzie huwa naenda safari moja Kwa Mwaka yeye akataka niende safari 2 π
Sasa ulitaka wafanyaje, wajitangazeπYaani mimi na miaka yangu 38 najionaga ni mtu mzima sana hapa jf kumbe Kuna wengine mna 60+ mmepga kimya tu.
Wanawake wa kijini ni wanawake wanaotoka kwenye familia za majiniKinondoni hapo mwanamke wa kijijini utamkuta wapi sio Uyole hapo wewe Mzee..
Yaani bila kuwa na dawa zangu za Presha karibu, haki ya nani yule Binti angeniua kwa manjonjo yake πGen Z watakuua usipokuwa makini.
Hahaha..............ni kweli hivyo vitoto ni vifundi kweli, changamoto yao wakikutana na sisi Wazee age imeenda hawachelewi kutupandisha Presha Kwa ufundi wao π€πWengine tunaenda kununua Corner Bar vitoto vya 'afumbili' hakuna usumbufu,bei poa ufundi mwingi
Hata Wazee tulikuwa Vijana mjue ππ kwa hali hii ndio vijana tuwe na maadili, sahauni
Wanaume bado tunakuwa na nguvu nguvu kidogoHivi miaka 60+ bado nguvu za ku do zipo
SI bora ustaafu kudo urepee mwili kwa protin ulizopoteza miaka yote ya ujana
Wahuni nao huzeeka
π€£π€£π€£π€£Wanaume bado tunakuwa na nguvu nguvu kidogo
Tukiongeza na tabia yetu ya kula kula Nazi pamoja na Karanga, hatushindwi kumaliza japo safari mbili Kwa wiki ππ
π π π ππππ€£π€£π€£π€£
Wazee wenzio wapo tanga kwa maandalizi ya albadir we upo jf πHata Wazee tulikuwa Vijana mjue π
Kuweni na imani na Wazee π€
Huko Tanga nimetuma mwakilishi πWazee wenzio wapo tanga kwa maandalizi ya albadir we upo jf π
Vibinti vinapenda wazee wenye pesa, kama pesa ipo wanaifuata ila wazee wasio nayo hawana muda nao.Kama hauna mafao utakula nini mafao si wanakula hao watu wa kikokotoo..