Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
We upo busy na dogodogoHuko Tanga nimetuma mwakilishi π
Shikamoo naitikia vizuuuri marhabaan....kimsingi namzungumzia mtu mzima mwenzangu 60+ ana mjukuu mkubwa kama wewe....Sina haja na vibinti a.k.a alfu mbili.....manake bado havijawiva.....vina harufu fedenge...πWazee wa hovyo , wazee wasiotaka salamu kabisa akikuona anawahi kukusalimia ili usimpe shikamoo ukijikoroga tu kumpatia shikamoo anakunja sura . mkuu kwa umri wako nilitarajia uwe mchamungu kweli kweli
Aisee au nimesoma vibaya ? Miss_MariaahNashukuru kwa kunitia
Mmeni edit waungwana nilisema kunitia moyo πAisee au nimesoma vibaya ? Miss_Mariaah
Aaha basi sawa MkuuMmeni edit waungwana nilisema kunitia π
Sasa mwanamke miaka 60+ halafu 'fridge lake haligandishi', basi huyo ni shangingi kizabizabina asiyefaa hata kwa kulumangila.Hebu tupeane uzoefu...kumtongoza mwanamke wa umri 60 +...... nini matokeo? Je? Kuna uwezekano wa kupigwa kibuyu? Wazee wenzangu hebu tupeane mrejesho.......Kuna mzee mwenzangu nina hofu asije nitangaza akanivunjia heshima....wasiwasi wangu wanawake huongea sana.πππ
That's Bravo Roger....Sasa mwanamke miaka 60+ halafu 'fridge lake haligandishi', basi huyo ni shangingi kizabizabina asiyefaa hata kwa kulumangila.
Sisi tunajua mwanamke wa umri huo ni mzuri sana kwa mapenzi maana hujitoa na kulea, ndiyo maana vijana wadogo wanawapenda na kuwafukuzia.
Mchunguze vizuri kama katulia, umri huo kuwa naye mbona unainjoi?
Hivi miaka 60 mkuu unaona ni mkongwe sana siyo?Hivi miaka 60+ bado nguvu za ku do zipo
SI bora ustaafu kudo urepee mwili kwa protin ulizopoteza miaka yote ya ujana
Wahuni nao huzeeka
π€£π€£π€£π€£ staki kesiNipe nipige cha mwisho halafu nistaafu... ππ
babu huyo bibi hukumuona ujanani? Kakuvutia niniKimsingi sizungumzii vibinti ni bibii
Nyie wazee ndio mkiumwa mkapelekwa hospital huanza kuwasumbua manesi πSihitaji dogodogo ni mwanamke 60+...yaani bibi aliyemzaa baba yako...karibu π
Huwezi tangaziwa, wanaotangaza ni under 18, kibuti unakula Kiutu uzima tu yanaisha, na maisha yanaendeleaHebu tupeane uzoefu...kumtongoza mwanamke wa umri 60 +...... nini matokeo? Je? Kuna uwezekano wa kupigwa kibuyu? Wazee wenzangu hebu tupeane mrejesho.......Kuna mzee mwenzangu nina hofu asije nitangaza akanivunjia heshima....wasiwasi wangu wanawake huongea sana.πππ
Wewe naye ni mmaza tu bhana. Mpe papuchi mwenzioDingii shkamooni.....